Hivi Makato ya Tanesco ya pango yamebadilika?

Hivi Makato ya Tanesco ya pango yamebadilika?

Ego is the Enemy

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
8,201
Reaction score
16,246
Habarini wanajukwaa!!

Nimepata kero hapa mpaka nashindwa kutatua, naombeni kufahamishwa.

Ni hivi nimenunua umeme hapa Ila nimekatwa Makato ambayo sio stahiki Mana mara ya mwisho nilinunua November mwaka jana .

Sasa Leo nimenunua wa 15000 nashangaa wanakata deni 10500 napewa umeme wa 4500 sawa na unit 12.6.
Nimeweka hapa na receipt.

Wenye uelewa naombeni kufahamishwa
Screenshot_20250211-215914.png
 
Mfano umenunua umeme wa 20k

Na matumizi yako siyo mengi ukafika nao mpk April

Hapo katikati miezi miwili huoni hukulipa 1500*2=3,000

Naamini utavyoweka kiasi ambacho hukulipia watakata,!
 
Back
Top Bottom