Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Post paid hio labda ulikua unatumia luku bila kulipa wakawa wanakusuburia tu uweke wakupige upanga waowanakata deni 10500
Post paid mfumo mpya waliokua wanautest unatumia kisha wanakupiga panga ukiweka hela
Bila kuomba kuungwa au?Post paid mfumo mpya waliokua wanautest unatumia kisha wanakupiga panga ukiweka hela
No, nimeweka umeme kilikuwa bado na unit Kama saba, yaani Kuna muda niliweka umeme wa ten nikapata unit Kama tatu , aisee nikiangalia labda nimeruka mwezi mmoja tu wa deniPost paid hio labda ulikua unatumia luku bila kulipa wakawa wanakusuburia tu uweke wakupige upanga wao