Hivi Malaika wana mabawa?

moyafricatz

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
2,904
Reaction score
4,902
Ukiangalia picha hii utaona kuna watu wenye mwonekano wa kibinadamu wakipuliza tarumbeta huku wakiwa na mabawa (wings) makubwa kwa pembeni.

Swali ,je malaika hawa wana mabawa kama maandiko yasemavyo?

Je bila hayo mabawa hawawezi kuruka ama kupaa hivyo kupoteza cheo cha malaika?

Je kama mabawa kwa malaika yana kazi ya kupaa mbona YESU KRISTO aliweza kupaa kwenda kwa MUNGU baada ya kufufuka kaburini akiwa hana mabawa.

Are the angels real have wings...????

Au ni portrayal language tu kuelezea uwezo wao wa kupaa kama ndege.

Tujadili

 
Kwa Imani ya Kiisilamu malaika ni viumbe wanao Tisha, wengine ni wakubwa kiasi kwamba dunia ni kama bacteria tu.

Hata ki biblia hawapo hivyo kama wanavyochorwa.

Kuna watu tu Na agenda zao wanawachora hivyo.
 
Kwenye Biblia kuna "masefari na wale wenye uhai wanne - wote hao imeelezwa wana mabawa.

Ufunuo 4:8

Sasa sijui ndio malaika.
 
Kwa Imani ya Kiisilamu malaika ni viumbe wanao Tisha, wengine ni wakubwa kiasi kwamba dunia ni kama bacteria tu.

Hata ki biblia hawapo hivyo kama wanavyochorwa.

Kuna watu tu Na agenda zao wanawachora hivyo.
Jesus is lord 😳😳
 
Sijui kwa nini binadamu tuliamua kupotoshana kiasi hiki.
Kwenye vitabu vya ibada wanakuchorea mzee mwenye ndevu nyingi nyeupe ndiyo Mungu, mara watoto wachanga wenye mabawa ni malaika, yaani wananifanya niamini kwamba haya mambo ni dhahania.
 
Malaika ni roho. Hawana umbile stationery ila wana we a badilika kua na umbile lolote
 
Pichani sijaona mwafrika akipokelewa na Ni wa kuhesabu tofauti na ngozi nyeupe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…