Jibaba Bonge
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,246
- 402
Wana JF, nilimsikiliza mwenyekiti wa TLP, I was realy fed up!!! Jamaa nadhani amepukutika upstairs. Hivi anaweza kuwa ndiye Malaria sugu humu jamvini nini? Hivi akiingia bungeni kupitia (anakodai alitumwa na Mwl. nyerere) jimbo la Vunjo si tutakuwa tumepata hasara sana?
hata kama siye lakini ndo wale waleWana JF, nilimsikiliza mwenyekiti wa TLP, I was realy fed up!!! Jamaa nadhani amepukutika upstairs. Hivi anaweza kuwa ndiye Malaria sugu humu jamvini nini? Hivi akiingia bungeni kupitia (anakodai alitumwa na Mwl. nyerere) jimbo la Vunjo si tutakuwa tumepata hasara sana?
Ms=Abh....
Ms=Abh....
Ms = mama salma
Hii nimeipenda.Ms = mama salma
wameshindwa kwa hoja
Mrema hawezi kuwa ndiye MS kwakuwa Mrema hawezi hata kidogo kutumia kompyuta,ni kilaza..Nenda kwanye ofisi yake utacheka mpaka uzimie..Malaria Sugu ni kichaa fulani hivi asiyejua A wala B ya siasa,anabahatisha tu..Hivi umeshawahi kumuona akichangia hoja za wengine zaidi ya zile anazoanzisha yeye tu mabazo nyingi zake ni za kichokozi tu?mfuatile uone..
Mrema hawezi kuwa ndiye MS kwakuwa Mrema hawezi hata kidogo kutumia kompyuta,ni kilaza..Nenda kwanye ofisi yake utacheka mpaka uzimie..Malaria Sugu ni kichaa fulani hivi asiyejua A wala B ya siasa,anabahatisha tu..Hivi umeshawahi kumuona akichangia hoja za wengine zaidi ya zile anazoanzisha yeye tu mabazo nyingi zake ni za kichokozi tu?mfuatile uone..