Alafu kuna vitu unafanya mwishoe unakuja kujilaumu maji yakizidi unga, nafikiri narudia tena NAFIKIRI sasa hivu wahuni wengi wakiwemo waganga uchwara wanaenda na beat mtu yeyote sasa hivi anaweza kukupoteza akijua fika kabisa zigo litapelekwa kwa wasiojulikana ,hii itakuja kuwapa wakati mgumu sana japo hawajulikani mana wasiojulikana wakibeba kumi wahuni nao wanabeba kumi sasa hapo kuna nini hao wote ishirini watapelekwa kwa wasiojulikana tu,
Tumeona wa waganga bado tutaona na mengine😪😪😪