Hivi mamlaka za kimataifa haziwezi kuishinikiza serikali ya Tanzania kuwaachilia mateka au kuwapeleka mahakamani

Hivi mamlaka za kimataifa haziwezi kuishinikiza serikali ya Tanzania kuwaachilia mateka au kuwapeleka mahakamani

Retired

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2016
Posts
44,629
Reaction score
83,056
Nauliza kuna uwezekano huo? Wanasheria akina madeleka, Mwabukusi, is that possible? mbona wana uwezo wa kukamata ndege? au kwa vie these are civil engagements?
 
Tatizo %kubwa ya watu waliopotea hakuna ushahidi presentable kama serikali ilihusika zaidi ya kuhisi tu.

Watu waliovaa kiraia wakijitambulisha kama polisi na kuwateka watu haitoshi kuthibitisha MAHAKAMANI kama ni kweli walikuwa ni polisi au la
 
Alafu kuna vitu unafanya mwishoe unakuja kujilaumu maji yakizidi unga, nafikiri narudia tena NAFIKIRI sasa hivu wahuni wengi wakiwemo waganga uchwara wanaenda na beat mtu yeyote sasa hivi anaweza kukupoteza akijua fika kabisa zigo litapelekwa kwa wasiojulikana ,hii itakuja kuwapa wakati mgumu sana japo hawajulikani mana wasiojulikana wakibeba kumi wahuni nao wanabeba kumi sasa hapo kuna nini hao wote ishirini watapelekwa kwa wasiojulikana tu,
Tumeona wa waganga bado tutaona na mengine😪😪😪
 
Back
Top Bottom