Mwambie amuongope kua alizaliwa na Ngoma,na anakula Mbaazi!!Kamnyima anamtishia sana
Nikodisheni mie nikajitambulishe kwa huyo Manager,hata msumbua tena Mdogo wako!!Sasa anaanza vitisho juzi kamchorea dili la kuitwa board room halafu akamfungia kwa njee .
Isingekuwa ni wasamaria saa tatu usiku sijui ingekuwaje asingetoka
Ripoti takukuru apate adabu yakeMdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje? Na kazi kupata ni shughuli
Dah! Yani unatoa mbinu kabisaa ya mwanaume mwezako kuteketeaaa rumandeMbona simple tu dada, mwambie aendelee kwenda kazini ila aseti mtego was kukusanya ushahidi usiokuwa na Shaka, hakikisha anakuwa na device ya kurekodia vedio ili atakapokuwa anaendelea kusumbuliwa basi anarekodi tu na mission ikisha kuwa accomplished ndo anampasukia bila mshipa was aibu kuwa akome kuendelea kumsumbua la sivyo utamtia ndani maana ushahidi una.
22 hatongozwi ? Mtu mzima huyo, ndio maana kaajiriwa. Ingekuwa anaombwa ili apewe kazi au kupandishwa cheo.. ilo ni kosa, ila kama anatongozwa kama wegine yeye atulie na msimamo wake wa kuchomoa au akubali au akamtabulishe jamaa yake kwa huyo mselaWeweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
Angekuwa mkeo au mwanao binti anafanyiwa hivyo usingetoa hii commentampe tuu kwani maana hatoondoka nayo
Kafanyiwa vipi kutongozwa ni kosa sikuhizi mbona kama munatatizo kwenye ubongo.Angekuwa mkeo au mwanao binti anafanyiwa hivyo usingetoa hii comment
Nashangaa kwakwel yaan mtu kutongoza ni kosa ? Mwambie aache utoto hata huko takukuru wanatongozana [emoji41]PCCB wakafanye nini ? Kutongoza ni haki ya kila mtu. Kuna mwanamke anafukuzia hadi miaka miwili.. mwaka wa nne ndio anakubali.. Manager kaamua kukomalia mzigo. Ingekuwa labda binti anaambiwa atoe uch.i ndio apewe kazi hiyo ni tushwa moja kwa moja..
Kumtakaje ??wandugu kumtongoza mtu sio kosa kisheria ila kumtaka bila ridhaa yake ni sexual harassment kosa liko pale pale hata kama sio mwanafunzi
Acha kutuchanganya asee, miezi 6 hiyo shule anaenda sangapNi student yupo parttime job na shule pia
Nao ikatokea wakamtaka , aende tena wapi vile?Suluhisho ni takukuru fanya haraka sana kwa msaada wa mdogo wako
Mdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje? Na kazi kupata ni shughuli