Hivi Mandingo ni nani?

kanyela mumo

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2016
Posts
2,034
Reaction score
2,117
Huyu jamaa ni nani? Nimesikia anatajwa tajwa sana.

Moja ya msanii alie mtaja ni Joh Makini kwenye ngoma ya Waya..

Naombeni wataalam wa mambo mnijuze sifa za huyu Mandingo wa ndingo

Ni nani hasa? Na kwanini jina lake linazidi kupaa sana?
 
Scopion kajaliwa nini.? Ujitahidi kuangalia porn..pilau kama mdau alivyokushauri hapo juu

Pilau..! Kila sikukuu nalicheck ila porn porn mambo magumu mtoto wangu mdogo namfunga Nepi tu mkuu.
 
Pilau..! Kila sikukuu nalicheck ila porn porn mambo magumu mtoto wangu mdogo namfunga Nepi tu mkuu.
Utamjua tu! hold on wapiga nyeto na waangalia x wakija humu Utamjua
 
Ila nahisi mandigo ni mkubwa kama Goriati sijui ni kweli?

Mwenye picha yake basi atupie, Wamikoani tumuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…