Hivi Mange Kimambi ana elimu gani?

Hujui madhara ya mtu ku-edit original post yako.

Wenye mamlaka ya kuedit ppst yako ni mods na Admins tu na si vinginevyo.

Lingekuwa ni kosa lingine ningempotezea tu lakini si kosa la kunilisha maneno huyu namshikia bango mpaka atiwe adabu.
Take it easy mkuu
 
Kiufupi ni msomi mdada shapu siyo mshàmba anajielewa sema kachagua life ya mitandao levo zake kina Mwamvita makamba sema ndio hivyo kajichorea mstar in short ni msomi .
 
nadhani huwezi kuedit isipokuwa mods tu.

Punguza ubishi usiokuwa na maana hapa nimeedit hii post yako.
[emoji115] [emoji115]
Angalia post yako nimeiedit bila kukusababishia madhara, nadhani sasa utakuwa umefunguka macho na kuelewa hoja yangu ni nini.
 
Wanajamvi napenda kujua elimu ya Mange Kimambi, mtu yeyote mwenye kufahamu Mange Kimambi ana elimu gani na amesomea fani gani kutoka chuo kipi naomba anisaidie hapa!
Kwani humfahamu? Mfate inbox
 
Yap ni kweli kasoma UDSM

Hmm....siyo kwamba kasoma chuo [diploma mill] ambacho kilikuwa kinatumia majengo ya UDSM?

Africa au sijui African Virtual University/ AVU?

Manake kuna tofauti kubwa sana hapo!

Hebu hakikisha kwanza hizo taarifa ulizonazo....manake si sawa kwa mtu aliyesomea DeVry university ambayo imekodi majengo kadhaa kwenye campus ya Vanderbilt halafu mtu huyo adai kasoma na kuhitimu Vanderbilt.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…