Hivi Mapambano tuition centre inafaa kwa ajiri ya kujiandaa ku resit mtihani wa form four?

Hivi Mapambano tuition centre inafaa kwa ajiri ya kujiandaa ku resit mtihani wa form four?

Sunshow

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2011
Posts
1,140
Reaction score
395
Habari wana jamvi, katika heka heka za kumtafutia mdogo wangu sehemu ya kujiandaa kwa ajiri ya kurudia mtihani wake wa kidato cha nne, nimekutana na Mapambano ile centre ya pale nyuma ya Nakiete pharmacy Mwenge. Wameniambia kuwa wana waalimu wazuri. Je, kuna yeyote mwenye kuijua vizuri hii centre na je wanafunzi wake huwa wanafaulu? Maana nilitaka akapate tuition pale na mtihani afanyie Jitegemee.
 
Back
Top Bottom