ebo poleni sana.sasa hapa nini kisichoeleweka??
Michelle na Mawenzi, nachouliza ni kuaa, mapenzi yana maamuzi yake au ni mapenzi ni suala la kisaikolojiatu?? kua mtuaanweza kuamua ayaendeshe anavyotaka, au mapenzi yanauwezo wakumwendesha mtu yanavyotaka yenyewe??
Hapa sijui nimeeleweka??