Alafu bora nimekuona / tumeonana eti hii ni kweli?Labda baadae sana, wamejizatiti sana aisee
Nikijaribu kuwaza kuwa wataibadilisha nakosa majibu ya kwanini waibadilishe, ila huenda ikilazimika kufanya hivyo labda watabadilisha.Wakuu najaribu kuwaza tu Maana hizi zimekuwa ni Kama hela za dunia
Wabadilishe kvp mkuu? Mbn zishabadilishwa mara nyingi tu?Wakuu najaribu kuwaza tu Maana hizi zimekuwa ni Kama hela za dunia
Hii $100 ya sasa hivi sio mpya? Au kubadilisha kupi mnakozungumzia.hawezi kuibadilisha na wala hatabadilisha. madhara yake ni makubwa sana. na itam-cost big time kiuchumi. pound ita take over. na hapo ndio itakua bye bye uchumi wa marekani