jama bado ni mjasilia dini,saizi ni nabiii ,waliopoteza matumaini wanapata tumaini jipya kwake,walio kataa tamaa wanaonywesha njia pia,pia anaombea wasio na kazi kupata kazi,wanaotaka gari etc,saizi yuko kwenye mchakato wa kujenga kanisa lake..ana trip ya kwa Joshua mwezi mmoja..akirudi huko ndio rasmi mkutano wake wa kwanza utafanyika kidongo chekundu umepewa jina LA TETEMESHA MAPEPO YOTE,MASANJA ANAPONYA
Stay tuned..mpaka maaskofu wataenda pokea uponyaji