Hivi Matonya yuko wapi wadau?

Hivi Matonya yuko wapi wadau?

Azikiwe

Senior Member
Joined
Nov 13, 2009
Posts
190
Reaction score
20
nIMEPATA TETESI KUWA MATONYA MEKAMATWA NA MADAWA YA KULVYA NCHINI cHINA, NI KWELI?
 
yupi?yule ombaomba?
icon9.png
 
Huo ni uzushi ambao ulivumishwa tangu mwezi Februari
 
Wana JF, niko hapa Kisumu saahizi katika mgahawa mmoja nimesikia vijana wanaongea ati Matonya (mwimbaji Bongo flava wa TZ) yuko kizuizini china ana skendo kafanya. je hizi habari ni za kweli?
 
He! imekuwaje jamani hebu tuhabarisheni vizuri wachina hawana masikhara wakimtia mtu mikononi wananyonga tu halafu wanapika supu..heeee!!
 
Taarifa zinazosambaa mitaani Dar ni kuwa amekamatwa na unga
 
Nimewasikia wanasema amekamatwa na unga alikuwa ametumwa na pendezyee mmoja wa bongo ambaye kwa sasa anaishi Nairobi. Mungu wangu... wachina wanaua!
 
Ha ha haaa. Mii kwa ushamba wangu bwana nikafikiri ni yule ombaomba mkongwe, Du! taabu kwelikweli
 
Kama ni kweli amekamatwa na Unga basi hiyo ni kesi nzito. Nchi zinazotoa adhabu ya kifo ukikamatwa na unga ni pamoja na China, Singapore, Iran, Indonesia, Vietnam, Philippines, Thailand na Malaysia. Ingawa sometimes inategemea na kiasi alichokamatwa nacho.
 
Kama ni kweli amekamatwa na Unga basi hiyo ni kesi nzito. Nchi zinazotoa adhabu ya kifo ukikamatwa na unga ni pamoja na China, Singapore, Iran, Indonesia, Vietnam, Philippines, Thailand na Malaysia. Ingawa sometimes inategemea na kiasi alichokamatwa nacho.
kwa wachina hata gm moja wanakumaliza! sheria zao huwa hazijadiliwi!
 
Mkuu mi kila nikiona avatar yako nakuwa sina amani hata maneno ya kukwambia nachaguwa...unatisha mkuu, unakaa Temeke nini?

hahaaaaa haaaa haaaaa kama si tandika, basi itakuwa pemba tehe tehe tehe !!!!!!
 
mambo kupendfa easy life lo, pole if its true
 
Back
Top Bottom