MLUGURU JF-Expert Member Joined Mar 30, 2012 Posts 2,929 Reaction score 3,710 Oct 24, 2021 #101 Arovera said: Mkuu hivi hujawahi kupiga maji ya uhai au afya mara ile lebo ianguke yenyewe sijui gundi wanaweka ndogo, sasa maji gani unakunywa unashangaa lebo inaondoka na upepo wa feni Click to expand... Na label ikishaondoka ni aibu nyingine,watu wanahisi unakunywa kandoro ya chupa ya 200.
Arovera said: Mkuu hivi hujawahi kupiga maji ya uhai au afya mara ile lebo ianguke yenyewe sijui gundi wanaweka ndogo, sasa maji gani unakunywa unashangaa lebo inaondoka na upepo wa feni Click to expand... Na label ikishaondoka ni aibu nyingine,watu wanahisi unakunywa kandoro ya chupa ya 200.
mfianchi Platinum Member Joined Jul 1, 2009 Posts 11,904 Reaction score 8,371 Oct 24, 2021 #102 Erythrocyte said: Amang'oma , Isamba na amagosi Click to expand... Haswa umesahau uzinzi!