Hivi mbona maji ya Uhai, Afya au Pangani hayanywewi kwenye hafla kubwa? Maji ya Kilimanjaro yana nini?

Mkuu hivi hujawahi kupiga maji ya uhai au afya mara ile lebo ianguke yenyewe sijui gundi wanaweka ndogo, sasa maji gani unakunywa unashangaa lebo inaondoka na upepo wa feni
Na label ikishaondoka ni aibu nyingine,watu wanahisi unakunywa kandoro ya chupa ya 200.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…