Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,772
- 8,939
Tatizo nimeliona kwa Tgo ukiweka vocha inalika bila hata kutumia huduma yoyote kwa mara 3 salio langu linatoweka situmii ring tone caller au upokeaji wa sms za taarifa yoyote. Voda, sijao tatizo sana na tarif zao, wapo na ughali fulani lkn ukifuata tarif yao wapo poa
Mitandao imeungana sasa ina dictate bei! vile vita vya kushusha bei mpaka zero vimekwisha wengine wamegundua watakufa very soon so wameamua kukaa meza moja na kukubaliana bei elekezi
Mitandao imeungana sasa ina dictate bei! vile vita vya kushusha bei mpaka zero vimekwisha wengine wamegundua watakufa very soon so wameamua kukaa meza moja na kukubaliana bei elekezi