SubiriJibu
JF-Expert Member
- Jun 26, 2009
- 1,805
- 1,876
Wakuu JF nielezeni na nifafanulieni,
Miaka kama 20 iliyopita wahasibu wa maofisini walikuwa wanaogopa sana ma-auditor. Lakini woga uliishia kwao tu.
Hatukuwa tunajadili kabisa suala la CAG na kwa kweli hicho cheo binafsi nilikuwa hata sikijui.
Hivi kumetokea nini hadi leo nchi nzima tunajadili report ya CAG kama vile ni kitu ambacho hakikuwepo huko nyuma?
Nielimisheni.
Miaka kama 20 iliyopita wahasibu wa maofisini walikuwa wanaogopa sana ma-auditor. Lakini woga uliishia kwao tu.
Hatukuwa tunajadili kabisa suala la CAG na kwa kweli hicho cheo binafsi nilikuwa hata sikijui.
Hivi kumetokea nini hadi leo nchi nzima tunajadili report ya CAG kama vile ni kitu ambacho hakikuwepo huko nyuma?
Nielimisheni.