Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Wajuzi wa sheria za soka naomba msaada wenu.
Leo kwenye Mechi Kati ya Kagera Sugar na Namungo mchezaji wa Namungo Hamis Faki ameingia uwanjani dakika ya 89 kuchukua nafasi ya mwenzake aliyetolewa. Lakini kilichonishangaza ni njia aliyotumia Faki kuingia uwanjani. Bila kupitia Kwa mwamuzi wa mezani (Fourth Official) baada tu ya kuona mwenzie katoka yeye akaingia bila kuruhusiwa na Mwamuzi mpaka alipogundiliwa na Mwamuzi wa Mezani Bi Lukyaa nawamuzi wa Kati akamwamuru atoke nje akaingie upya.
Sasa swali langu, huyu mchezaji hakustahili adhabu yoyote Kwa kuingia uwanjani bila kuruhusiwa?
Leo kwenye Mechi Kati ya Kagera Sugar na Namungo mchezaji wa Namungo Hamis Faki ameingia uwanjani dakika ya 89 kuchukua nafasi ya mwenzake aliyetolewa. Lakini kilichonishangaza ni njia aliyotumia Faki kuingia uwanjani. Bila kupitia Kwa mwamuzi wa mezani (Fourth Official) baada tu ya kuona mwenzie katoka yeye akaingia bila kuruhusiwa na Mwamuzi mpaka alipogundiliwa na Mwamuzi wa Mezani Bi Lukyaa nawamuzi wa Kati akamwamuru atoke nje akaingie upya.
Sasa swali langu, huyu mchezaji hakustahili adhabu yoyote Kwa kuingia uwanjani bila kuruhusiwa?