Kawapa wanajeshi wahangaike nacho
Halafu hiki kivuko baba ubaya ameenda kukificha wapi maana kwenye ufukwe wa D, salaam na Bagamoyo siioni?!
Alikuwa mtata ....kutwa ni songombingohahahhaha baba Ubaya umenikumbusha katuni za baba ubaya katika gazeti la sani
Hii kashfa ingekuwa kwa mtu mwingine angetumbuliwa kwa mbwembwe balaa, tungeambiwa ndio ametufikisha hapa! Tungeambiwa mtu ana PHD lakini anaenda kusaini kivuko kibovu tena kwa gharama mara 2 zaidi! Ila sasa kimyaaaaaaaa, ila hapa jamaa kapata aibu sana. Siku akikubaliana na ombi la baba askofu Kakobe hili nalo asije akasahau kuliombea msamaha wa dhati kabisa.
Halafu hiki kivuko baba ubaya ameenda kukificha wapi maana kwenye ufukwe wa D, salaam na Bagamoyo siioni?!
Hatari yaani nilikuwa sikosi hilo gazeti siku hizi magazeti ya katuni hizo hamna zaidi ya ushilawaduAlikuwa mtata ....kutwa ni songombingo
Ova
Hahahaha ingekuwa mwingine angetumbuliwa kwa mbwembwe nyingi sio!!!Hii kashfa ingekuwa kwa mtu mwingine angetumbuliwa kwa mbwembwe balaa, tungeambiwa ndio ametufikisha hapa! Tungeambiwa mtu ana PHD lakini anaenda kusaini kivuko kibovu tena kwa gharama mara 2 zaidi! Ila sasa kimyaaaaaaaa, ila hapa jamaa kapata aibu sana. Siku akikubaliana na ombi la baba askofu Kakobe hili nalo asije akasahau kuliombea msamaha wa dhati kabisa.
Ukianzisha beef naye haishiiHatari yaani nilikuwa sikosi hilo gazeti siku hizi magazeti ya katuni hizo hamna zaidi ya ushilawadu
Mwenye kujua ujenzi wa meli mpya ya kisasa umefikia wapi atujulishe na ukarabati wa MV Victoria na Serengeti umefikia wapi maana mkulu alisema December mkataba unasainiwa na ujenzi kuanza ifikapo January je kuna hatua yoyote iliyopigwa?tumechoshwa kudanganywa kwa miaka ishirini sasa
Hahah kuna watu wakorofi sana eti baba Ubaya...
Halafu hiki kivuko baba ubaya ameenda kukificha wapi maana kwenye ufukwe wa D, salaam na Bagamoyo siioni?!
HahahahaUkianzisha beef naye haishii
Ova