Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapanga safu ya mawaziriWakuu.
Hivi huyu mgombea wa ACT wazalendo ndugu Benard Membe, kampeni zake anafanyia wapi, maana simsikii kabisa?
kote huko sipajuiJana alikuwa Nanyumbu,leo yuko Nangurukuru,kesho atakuwa Nakapanya kisha Nanguruwe
Siyo Lisu tena?..Membe ni mtu wa system na anafanya kampeni kwa kutumia system.
..nyinyi hangaikeni kula mavumbi, kupigana vikumbo na polisi, mtakuja kushangaa Membe anaibukia Magogoni, au Chamwino.
cc Nyani Ngabu
We utakuja kuachika kwa kumuota Lissu mda wote. Mada inamhusu Membe we mahaba yako kwa Lissu tu? Bure kabisa.Wapinzani hawakUjipanga kwa kweli. Hata Lisu
Siyo Lisu tena?