mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
Chungu ni mdudu jamii ya sungusungu, kivuno imetokana na neno vuna.
Kwamba wewe umekula muwa wako, ganda umelitupa tangu jana. Mdudu Chungu anapita leo analifakamia ganda kwa raha zake anaona kavuuuna, kumbe watu wamefaidi tangu jana yake.
Ni sawa na wewe uoe/uoelewe na mtu asiye bikira. Unafurahi umepata chombo kipya kumbe wenzako wameshafaudu tangu zamaaaaani. Hahahaha!
enjoy ur weekend naona na kwenye methali upo
bye
Duu,we mtu ni noma,nilikaa gizani kwa muda mrefu mno!!!Chungu ni mdudu jamii ya sungusungu, kivuno imetokana na neno vuna.
Kwamba wewe umekula muwa wako, ganda umelitupa tangu jana. Mdudu Chungu anapita leo analifakamia ganda kwa raha zake anaona kavuuuna, kumbe watu wamefaidi tangu jana yake.
Ni sawa na wewe uoe/uoelewe na mtu asiye bikira. Unafurahi umepata chombo kipya kumbe wenzako wameshafaudu tangu zamaaaaani. Hahahaha!
Duu,we mtu ni noma,nilikaa gizani kwa muda mrefu mno!!!
Chungu ni mdudu jamii ya sungusungu, kivuno imetokana na neno vuna.
Kwamba wewe umekula muwa wako, ganda umelitupa tangu jana. Mdudu Chungu anapita leo analifakamia ganda kwa raha zake anaona kavuuuna, kumbe watu wamefaidi tangu jana yake.
Ni sawa na wewe uoe/uoelewe na mtu asiye bikira. Unafurahi umepata chombo kipya kumbe wenzako wameshafaudu tangu zamaaaaani. Hahahaha!
Hongera dali kwa kiswahili fasaha,mimi nilidhani huku huwa huingii upo tu kule kwenye M&M!ngoja na mimi niongezee kamfano kama ifuatavyo;Chungu ni mdudu jamii ya sungusungu, kivuno imetokana na neno vuna.
Kwamba wewe umekula muwa wako, ganda umelitupa tangu jana. Mdudu Chungu anapita leo analifakamia ganda kwa raha zake anaona kavuuuna, kumbe watu wamefaidi tangu jana yake.
Ni sawa na wewe uoe/uoelewe na mtu asiye bikira. Unafurahi umepata chombo kipya kumbe wenzako wameshafaudu tangu zamaaaaani. Hahahaha!
Hongera dali kwa kiswahili fasaha,mimi nilidhani huku huwa huingii upo tu kule kwenye M&M!ngoja na mimi niongezee kamfano kama ifuatavyo;
Duniani kuna watu Masikini na matajiri.wewe unaweza kuwa unamahitaji yote lakini kumbuka kuna watu ambao wanasuffer.Kuna wengine huwa wakiwa na ziada kama nguo na chakula wanatupa ovyo na kuharibu mabaki lakini kumbe kuna watoto wa mitaani,yatima na wengineo kama ungewapa nao wangesheherekea mavuno na kushukuru sana!
Chungu ni mdudu jamii ya sungusungu, kivuno imetokana na neno vuna.
Kwamba wewe umekula muwa wako, ganda umelitupa tangu jana. Mdudu Chungu anapita leo analifakamia ganda kwa raha zake anaona kavuuuna, kumbe watu wamefaidi tangu jana yake.
Ni sawa na wewe uoe/uoelewe na mtu asiye bikira. Unafurahi umepata chombo kipya kumbe wenzako wameshafaudu tangu zamaaaaani. Hahahaha!
na vipi ile nyingine ya bura yangu sibadili na rehani?duu,we mtu ni noma,nilikaa gizani kwa muda mrefu mno!!!
Chungu ni mdudu jamii ya sungusungu, kivuno imetokana na neno vuna.
Kwamba wewe umekula muwa wako, ganda umelitupa tangu jana. Mdudu Chungu anapita leo analifakamia ganda kwa raha zake anaona kavuuuna, kumbe watu wamefaidi tangu jana yake.
Ni sawa na wewe uoe/uoelewe na mtu asiye bikira. Unafurahi umepata chombo kipya kumbe wenzako wameshafaudu tangu zamaaaaani. Hahahaha!
Bura ni aina kitambaa cha thamani ya juu na rehani ni aina ya kitambaa cha hariri ambacho ni cha thamani ya chini. Kwa maneno mengine- kitu cha thamani hakibadilishwi kwa kwa kitu kisicho na thamani.na vipi ile nyingine ya bura yangu sibadili na rehani?
Kuna binadamu wengine wa na roho za kimaskini siku wakipata basi mtaa mzima watajuwa, watapita kila kibanda kujitangazia kile walichopata japo thamani yake ni duni.Halafu kuna hii: Maskini akipata ma.ta.ko*, hulia mbwata!!!!
Sibadili kilicho duni kwa changu chenye thamani.na vipi ile nyingine ya bura yangu sibadili na rehani?