Hivi mfano umeshika madaraka makubwa kabisa ktk jamii,unaweza sahau makoloni ya zamani,maana naona Trump wamemtaiti...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Penzi LA ujanani huwa halisi haliitaji fedha enzi za shule au vyuo,sasa ikitokea umeukwaa ukuu unaweza wasahau kwa kigezo cha kuwa ni Mali ya Wengene au utawasaidia nao waonje ukarimu waliokutendea miaka mingi iliyopita.

Maana naona Trump waandishi wanaibua makoloni yake ili alipe fadhira,Afrika hali ikoje,waandishi mpo akina shilawadu a.k.a Sudi brown hahah.

Instagram;kaukwaju
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…