Hivi miaka 32 ya Bavicha hawana Mradi wowote hadi Nauli za kuja mkutanoni walipiwe na Mwenyekiti Mbowe? Jifunzeni Uwekezaji pale UVCCM!

Hivi miaka 32 ya Bavicha hawana Mradi wowote hadi Nauli za kuja mkutanoni walipiwe na Mwenyekiti Mbowe? Jifunzeni Uwekezaji pale UVCCM!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono 😂
 
wameambiwa ukweli hili lilitakiwa waliangalie wao mapema sana na sio lazima kuwaiga uvccm!?
 
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono 😂
Ccm wezi miradi waitoe wp?
 
Kuifananisha ccm na vyama vya upinzani ni ukosefu wa akili.

Asset nyingi zinazomilikiwa na ccm ikiwemo viwanja vya mpira na mashule ni mali za umna, serikali ilipaswa kuvitaifisha ulipoanza mfumo wa vyama vingi.
Ndio sababu nikasema Bavicha hamna hata Kiosk tu cha kuanzia?

Nakumbuka hata Kusaga wa Clouds alianza na kubeba Spika mgongoni pale Arusha 😂😂
 
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono 😂
Chini ya Mbowe kulikuwa hakuna ubunifu wowote, zaidi ya maamuzi yoye kutoka kwake mramba asali
 
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono 😂
Miradi ya CCM ni urithi kutoka TANU Bwasheee.
 
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono 😂
Polisi waome mradi wa bavichq wauache?
 
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono 😂
Wana akili za kutumia tu hawana za kuzalisha, ,

No income generating activities mindset
 
Back
Top Bottom