Hivi miaka 32 ya Bavicha hawana Mradi wowote hadi Nauli za kuja mkutanoni walipiwe na Mwenyekiti Mbowe? Jifunzeni Uwekezaji pale UVCCM!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Taasisi ya Bavicha imewahi kuongozwa na wafuatao:

1. Freeman Mbowe Kwa Sasa ndiye Boss mkuu wa Chadema

2. Zitto Kabwe Kwa Sasa Mshauri mkuu wa ACT wazalendo

3. John Heche Kwa Sasa Mgombea umakamu Mwenyekiti wa Chadema

4. Patrobas Katambu Kwa Sasa Naibu Waziri

5. John Pambalu ni Mwalimu huyu

6. Juliana Shonza Kwa Sasa ni mbunge

Ina Maana Viongozi wote hawa walishindwa kubuni hata Mradi wa Kiosk tu?

Angalia wenzenu UVCCM Miradi kila mkoa tena mikubwa mikubwa ikiwemo Jengo kubwa la kitegauchumi pale Morogoro road

ACHA tu mlazwe Kwenye mitaro hamna ubunifu

Mlale unono πŸ˜‚
 
wameambiwa ukweli hili lilitakiwa waliangalie wao mapema sana na sio lazima kuwaiga uvccm!?
 
Hujaona huo mfano hapo juu au nikuongezee na Vijana Social Kinondoni πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kuifananisha ccm na vyama vya upinzani ni ukosefu wa akili.

Asset nyingi zinazomilikiwa na ccm ikiwemo viwanja vya mpira na mashule ni mali za umna, serikali ilipaswa kuvitaifisha ulipoanza mfumo wa vyama vingi.
 
Ccm wezi miradi waitoe wp?
 
Kuifananisha ccm na vyama vya upinzani ni ukosefu wa akili.

Asset nyingi zinazomilikiwa na ccm ikiwemo viwanja vya mpira na mashule ni mali za umna, serikali ilipaswa kuvitaifisha ulipoanza mfumo wa vyama vingi.
Ndio sababu nikasema Bavicha hamna hata Kiosk tu cha kuanzia?

Nakumbuka hata Kusaga wa Clouds alianza na kubeba Spika mgongoni pale Arusha πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wewe Mzee muongo muongo sana.Zitto Kabwe alikuwa na nafasi gani BAVICHAπŸ˜€πŸ˜€
 
Chini ya Mbowe kulikuwa hakuna ubunifu wowote, zaidi ya maamuzi yoye kutoka kwake mramba asali
 
Miradi ya CCM ni urithi kutoka TANU Bwasheee.
 
Polisi waome mradi wa bavichq wauache?
 
Wana akili za kutumia tu hawana za kuzalisha, ,

No income generating activities mindset
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…