Mhh wabongo sio watuHalafu sasa cha ajabu Crown Athlete nyingi zinazouzwa bongo milage zake hua zinarange kati ya 40,000 - 90,000 KM ika ukizicheki huko Japan i.e Beforward, SBT Japan, Trade CarView etc zinacheza milage kuanzia 90,000 - 180,000KM sasa sijui hizi za bongo wanakua wamezitolea wapi tena hizo za bongo ni Registration mpya mpya tuu
Lambo inatumika na polisi wa DubaiSio wivu Bro. Unakuta jitu katunisha kitambi kwenye crown utadhani anasukuma Lamborghini.
Narudia, usinunue gari mkononi used kwa mtanzania ngozi nyeusi hapa nchini.Mhh wabongo sio watu
Crown Japan inatumika kama Taxi au gari za PolisPolisI (Patrol) ila Bongo mtu kavimba utadhani kanunua gari ya maana.
Sio wivu Bro. Unakuta jitu katunisha kitambi kwenye crown utadhani anasukuma Lamborghini.
Ungetaja km ingependeza zaidi unadhani kila aliyoko humu anajua Dar- chalinze ni umbali gani?Tatizo sio wabongo gari kwa wenzetu used zipo za aina mbili, za high way mileage na za town trip mileages sasa kati ya hizi gari mbili ni bora uchukue yenye mileages kubwa iliopatikana on high way kuliko yenye mileages ndogo ya town trip, mfano kwa wenzetu unakuta MTU anaishi dar es salaam anafanya kazi chalinze ila kwakuwa njia ni nzuri huwa anaenda na kurudi kila siku kutokana na umbali huu odometer itapanda kwa haraka ila hii gari itakuwa ni bora kuliko lile linalozurula mjini likisambaza bidhaa
Maana hapa lipi
- litawashwa na kuzima Mara nyingi
- lipi gia box itakuwa under stress
- tear ya engine hutokea sana wakati wa kuwashwa gari maana gari unavyolizima lubricant hutuama, hivyo initial seconds vyuma husagana hadi oil itakapopanda juu
-je ni gari lipi litakuwa body linapata stress kutokana na kukanyagwa kwa break mara nyingi zaidi kati ya huyu wa high way na huyu wa town trip kwenye foleni
Inaweza kuwa viceversa.Kwangu mie gari lenye milage nyingi , ndio chaguo langu kama unaanunua used
Gari lenye milage nyingi ni kielelezo kimoja kuwa lilitunzwa na kufatiliwa vizuri katika maisha yake .,
Kuna jamaa youtube ana scania 142 , imetembea km milioni 4.1, na bado gari ipo poa
Sasa unataka sisi mikweche yetu tukaizie wapi mkuu?Narudia, usinunue gari mkononi used kwa mtanzania ngozi nyeusi hapa nchini.
Unajua Police Dubai wanatumia nini?Crown Japan inatumika kama Taxi au gari za PolisPolisI (Patrol) ila Bongo mtu kavimba utadhani kanunua gari ya maana.
Upo sahihi sana.Maelezo yamejitosheleza.Inaweza kuwa viceversa.
Gari yenye mileage ndogo unaweza ikawa imetunzwa zaidi pia.
Kuna watu wana mpaka magari matatu nyumbani na wanatumia usafiri wa ofisi.
Unadhani hizo gari zitakuwa na mileage kubwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
kwangu uKuna hii gar nimeipenda ila sasa millage inaniogopesa maana ipo kwenye km 200,000
But ka gar ukikaangalia ni kazuri kweli halafu ni latest cha 2009. Nimepiga pia tra inaweza kuwa kama 7 million. Embu nishaurini hapo wakuu.
Ama nitafute hata cha millage ya laki moja? Maana nimechunguza kwa gar nnayotaka ni ngumu kupata ya millage below 100,000 kwa bei nnayotaka mimi.
View attachment 1107241View attachment 1107242
Yes boss inawezekana kabisa karibu sana kama unashida hiyo ni kazi ya nusu saa au dk 15 tuu..isn't there any way to restore the mileage to zero?!