Hivi mimba changa kutapika nini dawa yake.?

Hivi mimba changa kutapika nini dawa yake.?

kesho kutwa

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2016
Posts
1,722
Reaction score
1,965
Wakuu mke wangu anatapika tapika nini dawa ya hii kitu..? She has pregnancy not more than 2 months
 
Nashauri atafune tangawizi... Hii Ni sababu dawa nyingi zinazotumika mahospitalini zina madhara kwenye mimba. Pole kwa shemeji
 
wahaya wana dawa nzuri sana za asili.waliwahi nisaidia.cheki kama una mhaya unamfahamu.atadunda mpaka kujifungua bila zengwe lolote
 
1. Ahakikishe hasikii njaa, yaani aepuke kukaa muda mrefu bila kula-tumbo wazi huongeza tatizo
2. Ale vitu vikavu mara kwa mara mfano Biscuits

3. Aache kula vyakula vinavyompa kichefuchefu.
4. Apate ushauri wa daktari kuhakikisha iwapo hana tatizo la kiafya mfano Maralia, typhoid , minyoo.....
5. Apate mapumziko ya kutosha
6. Awe mvumilivu, hii hali itapita, ni ya muda mfupi
 
atumie dawa inaitwa NOSIC ya wajawazito. inapatikana pharmacy. asubuhi anameza kimoja na jioni kimoja. kutapika itakua historia. my wife ndio anatumia for 5 months now.
 
Nashauri usingeandika kiingereza bro, umesoma st Joseph nini?
Ndg umeelewa au hukuelewa. English nini ndg yangu hadi umkomalie hivyo.. Wazungu wakikosea kuongea kiswahili mnawapigia makofi. Mbongo mwenzio akosee kidgo tu tutamshikia bango. Acha kuwa mtumwa wa kifikra....
 
Thanks GOD nilibeba mimba sijawahi Kutapika hata siku moja. Wala kichefuchefu [emoji119]
Pole mwambie asikae na njaa mda mrefu
[/QUOTE
Kukiri kubeba mimba hadharani ni kukiri kudinywa sirini na mwanaume
 
Wakinadada wanatoa experience ya kichefuchefu
Yaah..!! Njia nyepesi ya kuepuka ni baba mtarajiwa kupata muda mwingi wa kukaa na mamaa na kuchezea tumbo, Mtoto alie tumboni hufurahia na kumpa mama mtarajiwa furaha muda wote , kichefu chefu hakitampata kabisa..!!
 
Kwa akili zako mtu anaweza pata mimba bila mwanaume. Una mapepo wewe.
Gwajima akuombee [emoji23][emoji23]
 
Wakuu mke wangu anatapika tapika nini dawa ya hii kitu..? She has pregnancy not more than 2 months
"she has pregnancy more than two months" okay sikulaumu ila hiyo shule ya kata Chato ndio shida na ccm mliyoichagua kila uchao.

dawa yake wanasema akisikia kichefuchefu unampiga mashine raundi moja lakini hakikisha lazma ukojoe na yeye asifike kileleni, hapo kichefuchefu kinaisha
 
Back
Top Bottom