Kisoda vp mnajuana nn hapo kwenye red!π dogo unaonaje tukurudishe shule....π
nadhani ndiyo njia pekee ya kukusaidiaKurudi shule ndo itasaidia nini?
πSasa mbona kusikia shule tu!! Umeogopa, au ulikimbia kabla hujamaliza....πKurudi shule ndo itasaidia nini?
π dogo atanijua tu kama leo au kesho mana....mimi ndo fazaa...πKisoda vp mnajuana nn hapo kwenye red!
πdogo mbona mimi sina cheti, cheti wanawapa wale wenye kupenda kujionyesha wamesoma...πNilisoma ili kupata cheti tuu kama wewe! ndo maana nauliza ati!
Duuh nimejikuta nikikugongea senksii kwa kuelewa, hiyo yenye red.ndo maana ukakimbilia kutaka unirudisha shule ukiwa umesahau nawe ni mmoja wao?πdogo mbona mimi sina cheti, cheti wanawapa wale wenye kupenda kujionyesha wamesoma...π
π Hahaha ok sasa turudi kwenye mada...haaa haaaaaaaa,sasa mie shule nikafanze nini kama ndo hivyo?
Lete jibu bana ndogo acha longo loooongo!
Yameisha dogo...wewe endelea kujisomesha tu kama mimi...duuh nimejikuta nikikugongea senksii kwa kuelewa, hiyo yenye red.ndo maana ukakimbilia kutaka unirudisha shule ukiwa umesahau nawe ni mmoja wao?
Ok nimekusoma, ila inakuweje wao (wanawake) kujitoa?π Hahaha ok sasa turudi kwenye mada...
Inawezekana mwanamke kusema vile kwa kuwa anajua bila mbegu za kiume yule mtoto asinge zaliwa ndo mana akasema mimba sio yake...yeye kaibeba tu...nadhani wanawake wako right...
Ok nimekusoma, ila inakuweje wao (wanawake) kujitoa?
na kwanini wanaargue eti hatwendi nao clinic wao wakienda ili kujua mwendeleo wa hiyo mimba?