Mpigamimba
Senior Member
- Nov 26, 2022
- 198
- 237
Walla sio tekno mkuuAchana na tekino mkuu nunua samsung😄😄😄
Acha kutumia inifiniksi😄😄 nunua samsungWalla sio tekno mkuu
Bado unabashiri. Mkeka utachanika huo.Acha kutumia inifiniksi😄😄 nunua samsung
😄😄😄 hivi oppo zinakaa na chaji mkuuBado unabashiri. Mkeka utachanika huo.
Hii ni oppo Reno 6 Mkuu
Hiyo oppo Reno siku moja kariako nilikuwa natembea nayo vibaka wakanipokonya na kukimbia. Walipoiona ni Oppo Reno 6 wakarudi na kunibamiza nayo usoni na kunikaripia kwa jabza ninunue simu ya maana wakatokomea na kuniacha na maumivu makali ya uso.Bado unabashiri. Mkeka utachanika huo.
Hii ni oppo Reno 6 Mkuu
hahahah.... aise....Hiyo oppo Reno siku moja kariako nilikuwa natembea nayo vibaka wakanipokonya na kukimbia. Walipoiona ni Oppo Reno 6 wakarudi na kunibamiza nayo usoni na kunikaripia kwa jabza ninunue simu ya maana wakatokomea na kuniacha na maumivu makali ya uso.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo oppo Reno siku moja kariako nilikuwa natembea nayo vibaka wakanipokonya na kukimbia. Walipoiona ni Oppo Reno 6 wakarudi na kunibamiza nayo usoni na kunikaripia kwa jabza ninunue simu ya maana wakatokomea na kuniacha na maumivu makali ya uso.