Hivi mimi nitatosheka na mwanamke mmoja kweli...!

Hivi mimi nitatosheka na mwanamke mmoja kweli...!

Mtambuzi

Platinum Member
Joined
Oct 29, 2008
Posts
8,809
Reaction score
15,421
Niko hapa maeneo ya Mlimani City na mfanyakazi mwenzangu ambaye bado hajaoa……… Tumesimama mahali ambapo kila anayeingia na kutoka hapa Mlimani City tunamuona.................. Kuna mabinti wengi wazuri wa kuvutia wakiwa na vivazi ambavyo ukiwaangalia.............Mashaaallah, wamejaaliwa hasa........ Wenye Pedo haya wenye Skin Jinzi haya, wenye Suruwale za kubana makalioni tena mlegezo wakiwa vitovu nje nao wapo, wenye Vikuku haya wenye Viatu vya Makhirikhiri twende kazi, ili mradi kila mmoja kapendeza kama mamtoni mwanawane..................
Yule mwenzangu nilipomuangalia namuona kawakodolea macho huku domo limemlegea utadhani fisi aliyeona mnofu...............
Namuuliza, “Mwenzangu kulikoni umetoa macho kiasi hicho?”
“Aisee..... Kweli Mungu anajua kuumba, mabinti wazuri namna hii, hivi mimi nitatosheka na mwanamke mmoja kweli....................!” Alinijibu huku akiendelea kuwakodolea macho.........
Mh! Nilibaki kuguna..............
 
Mswati na Zuma hawajatosheka sembuse yeye....lol

Zuma can't be serious. It's hard enough for a young man half his age to keep up with as many women as he has, but he is in his 70s and he's got like six or seven wives?

What does he do with all of them? I bet they cheat on him so bad..
 
Mswati na Zuma hawajatosheka sembuse yeye....lol
Zuma ana vituko sana, yani mtu mwenyewe ana kifua kilicho regea, mpaa anaonekana kama ana matiti afu anataka kubeba 26/24 si watamua :A S shade:
 
Zuma can't be serious. It's hard enough for a young man half his age to keep up with as many women as he has, but he is in his 70s and he's got like six or seven wives?

What does he do with all of them? I bet they cheat on him so bad..
May be for him it's a cultural heritage...lol
 
Mweleze tu kwamba, kwa ujumla mwanamke mmoja hatoshi, ila pia kummudu kwa kila kitu si kazi ndogo!!


Babu DC!!
Huyu jamaa yangu kwa umri alio nao angepaswa kuwa amewowa, lakini kila siku anaendela kupima.........Mara leo yuko na huyu kesha kabalidisha mwingine.....................Yaani kaazi kweli kweli
 
Huyu jamaa yangu kwa umri alio nao angepaswa kuwa amewowa, lakini kila siku anaendela kupima.........Mara leo yuko na huyu kesha kabalidisha mwingine.....................Yaani kaazi kweli kweli
Mwache aendelee kuwa mkemia mkuu..lakini ajue siku si nyingi naye atapimwa kujua anazikwa akiwa amebakiwa na kilo ngapi!
 
Utatosheka tuu maana hata wanaopiga puli huwa wanatosheka kuliko kawaida ndio maana baada ya muda hawawezagi kufanya mapenzi na mwanamke tena hata awe mzuri kama malaika ila kupiga puli anaweza. Hiyo ni akili yako ya tamaa za mwili tu lakini wote wako sawa tu.
 
kutosheka kwa mmoja ni ngumu ila pia kuishi na hata mmoja ndani ya nyumba ni tabu!ila kuchovyachovya ndoani haiepukiki
 
Back
Top Bottom