Hivi mimi superbug sifa yangu kuu humu JAMIIFORUM ni ipi?

Sio mtu maarufu mi niko humu toka 2012 ndo nakuskia leo

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu dogo mi mwenyewe ndio naliona jina leo, anyway nimejua kuna jina kama hilo jf.
Kwa Ushauri tu: kijana bado ni mdogo ukute una ka spacio sasa ukishika na chupa na maji wakati unashuka mwenyewe unaona maisha ushamaliza take care dogo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kula maisha..hamna haja ya kujua tunakuchukuliaje humu
 
My dada unanifurahishaga vile uko positive wakati wote. Hivi huwa unakasirika?

Sent using Jamii Forums mobile app


Aahahahhahaaaa Khatwe asante Kwa maono yako, kuhusu kukasirika huwa nakasirika na nashikwa na hasira haswa ila haikai masaa mengi narejesha tabasamu langu....na nikikasirika ujue imenifika pomo...aka uvumilivu umenifika mwisho.

Kuhusu kuwa positive naona ni hulka like nimezaliwa au nimekuzwa na mitazamo hiyo....
 
Nilipata ajali na hiyo gari siku netanyahu anakuja rwanda miaka minne imepitampk Leo sijaigusa so gari kwangu sio ishu lofa wewe
 
[emoji122][emoji122]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We si ndo uliandika Uzi umemezwa na chatu akakutema ...embu ngoja kidogo



Weeh rose ..weeh rose uko wapi mbona hamjaniekea chapati siji tena hapa matako bar hampo serious





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…