Hivi mkishapata pesa na magari hao wanawake mnawapataje?

Hivi mkishapata pesa na magari hao wanawake mnawapataje?

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Mara nyingi humu jamvini mtu akija na changamoto ya kuachwa au kukataliwa watu huwa wanashauri tafuta pesa, nunua gari na blah blah nyingine.

Sasa swali langu ukiwa na pesa, unamwita mdada unamwambia mimi nina wekundu kadhaa nikubalie? Au ukiwa na gari unawapataje sasa mimi naona kama unakuwa umepunguza interaction maana kwenye public transport unakoweza kuwaotea. Hapa sizungumzii milupo na malaya wa viwanja.

Naombeni majibu maana naona kwangu bado mambo bila bila [emoji3][emoji3]
 
Mademu wana vigezo wanaangalia kwa wanaume ambacho ni uwezo wa kifedha kwa kumiliki mali kama magari na majumba pamoja na kuweza kumudu mahitaji. Njia za utongozaji ni zilezile ila akiona una mkwanja na gari kali anakubali kirahisi kuliko ukija na bodaboda
 
Kumbe wanaoachwa na kuachika huwa hawana magari ndo maana [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848] ukiwa na Gari na pesa ushamaliza kila kitu
 
Ukiwa na hela mwonekano wako unajionyesha na hao manzi wanajua sana kunusa mwenye hela. Wee nenda sehemu zenye mkusanyiko wa hao manzi kama kwenye graduation, sehemu za kuabudu, harusi, viwanja vya starehe zenye hadhi ya manzi unayemtaka, maofisini mida ya lunch au wakati wa kutoka kazini, n.k. Then, simama kwa mbali pitishapitisha macho utamuona atakayenasa nafsi yako then mfuatilie au ulizia wenyeji upate njia ya kumpata!

Kabla ya hata kujua una gari au nyumba, mwonekano wako tu utamvuta na kujileta na hapo unaweza kujimwambafai. Then, akijua unafanya shughuli gani na una gari basi anakuja mzima mzima bila kuvua viatu! Lakini wengine inabidi uwe na "swagger" za kiaina hapo ni wewe kijiongeza. Kama huwezi wako machalii unaweza kuwapa kazi kukuvutia manzi kama domo ni zitto!
 
Kuwa na Pesa au Gari hakuondoi kipengele cha kumwaga mistari...Usijidanganye kuomba penzi kama unaomba pipi dukani utaambulia mitusi tu ujione una gundu. Lazma utangaze nia kwanza ila kwa uhakika 100% ndani ya siku 3 za mwanzo utakuwa ushamilikishwa jimbo ama dalili zote za kupewa mbunye utaziona.

Inshort Kinachorahisishwa na mamalaka (Pesa & Gari) ni ile process ya kupata mbunye. Hutatumia effort nyingi endapo ukishaonesha nia tu...mambo yanaflow yenyewe na upepo utakuwa upande wako mara nyingi kuliko kwa mtu ambaye ni kapuku kuna namba akigusa ataambulia vi-ndula tu!

Yote hii inatokea tokana na kwamba watoto wa kike wengi wana tamaa ya vitu vizuri vizuri na mtu mwenye pesa ndio mtu pekee hasa anaeweza ku guarantee aina hio ya maisha wanayopenda. Akililia hiki umpe akitamani kile ununue ilimradi tu kamoyo kake kafurahi.

Mfano: Mtoto umemuapproach, hapo ana matatizo lukuki anadaiwa kodi mara biashara haziendi. Mara umemtatulia shida zake kwanini asiachie mbunye sasa. Kwanza anakuona kama Nabii flani ulieshushwa ghafla. Hapo huna haja hata ya kulia lia alimradi ulionesha nia ya kumtaka atakufata kwako akuvulie chupi atadeki na kufua na kupika kabisa 😂😂😂😂😂. Hii ndio aina ya wanawake wengi ambao tunakutana nao maeneo ya mijini...achilia wale wa tamaa za kuosheana kwa mashost zao.
 
Gari na pesa vinakuongezea confidence ya kumapproach yeyote. Not sure abt Passo and Vits.
🤣🤣🤣🤣🤣 kwamba hizo sio gari!

About confidence tupo pamoja, huwezi kuwa kinyonge wakati account inasoma 6 figures! Una mashine kali V6 kifuani! Mungu akupe nini af kama ni mtu unaejua ku Pop tags kwenye ma Botiques basi imeisha hio. Yani jinsi unavyonukia na smart looking ni pesa tupu.

The moment unafata manz na kumwambia dadaa samahan, mambo vipi?... tayari umemlegeza, baada ya siku 2-3 umemtimbia na Lexus na ameshajua unatokea kwenye ghorofa moja Posta City Centre mnapata Lunch Serena aisee need i say more?
 
[emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28][emoji23][emoji23][emoji28][emoji23][emoji28] mzee, na ile DSM yako wanachomoa?? nmecheka mpaka sio poa.....skia fanya hv sku moja moja uwe unapanda kwny dala dala yangu huwa napakia abiria visu n hatareeee[emoji6] gwankaja,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeuliza tu mkuu. Ila ukiwa na usafiri unafika popote kiurahisi. Mnaweza mkafanya mazungumzo machache ndani ya gari huku mnatafuna korosho na ceres ya apple.
Eeh kaka mie napenda sana kupaki sehem tulivu tukaongea mawili matatu.
 
Nikupe uzoefu wangu! Nilikuwa mkoa fulani niko vizuri nimepaki Mercedes Benz yangu nje nikaingia Night Club moja matata ya hadhi fulani. Mfukoni nina mawe ya kutosha. Nikaenda moja kwa moja "counter" nikakutana na washua fulani wakiwakodolea macho totozi fulani za uhakika!

Hizo totozi kumbe ni wanafunzi wa Chuo fulani na wako vizuri wanakula good time kwa hela zao mpaka washua wakawa wanawaogopa! Nikamwambia mshua mmoja (simfahamu) kuwa nataka binti mmoja mrembo kuliko woote humu ndani akaninyoshea kidole "yulee"! Na kweli alikuwa amesimama kila idara urefu, chura, rangi, kuongea, sauti, n.k, n.k. Nilichokifanya niliangalia anakunywa kinywaji gani nikaona anakunywa something like beer kwenye chupa ndogo.

Nikaenda moja kwa moja mezani alipokuwa amekaa na wenzake! Nilivyokuwa naapproach meza (pamoja na kelele za mziki na kushouti) woote walihisi "somebody is looking something around this table". Nilimsogelea na kumuomba "naomba nikununulie kinywaji chochote unachotaka". Wakati woote wananiangalia akasema tununulie woote tuko kampany!

Sasa kama hela hipo na unatafuta " binti/demu/mke/mchumba" vyovyote vile utakavyoweza kuita hela ya round moja ili umpate kitu gani bwana? Nikatoka nikarudi na muhudumu na kuchukua order na nikalipa then nikampa simu yangu "IPhone 7+" ndo zimetoka aniandikie namba yake then nikasepa. Nikakausha kama siku nne bila kumtafuta then nikampigia na kujitambulisha! Nakuambia! Hata sasa nikitangaza kupeleka mahari ruksa!
 
Back
Top Bottom