Hivi mkishapata pesa na magari hao wanawake mnawapataje?

Kwa mjanja kama mimi japo nina vyote ila huwa napenda kuwin Soul ya mrembo tu. Siwezi tanguliza mipunga mbele mbele. Na behave kama mtu wa kawaida tu hadi wenyewe wananikong'otea tu!
 
Kwa mjanja kama mimi japo nina vyote ila huwa napenda kuwin Soul ya mrembo tu. Siwezi tanguliza mipunga mbele mbele. Na behave kama mtu wa kawaida tu hadi wenyewe wananikong'otea tu!
Hehehehe,wanakukong'otea nini?Kiuno au mikojo mixer yenye rojo la mavi?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pesa na magari ndio sumaku ya kuwavuta wanawake, we ukiona anatembea barabarani au uchochoroni mwambie aje kupanda gari uone atakavyoingia haraka
 
Mwanamke mara nyingi huangaria namna ya wewe kuweza kumhudumia hasa wale wenye uhitaji huo japo kuwa mara nyingi mwanamke anauhitaji mana hata awe na vyake lazima ahitaji tu.

linapokuja swala la gari hayo ni matokeo ya nje ya mhusika na mala nyingi wanawake wapenda sifa na wapenda mtelemko na wenye kipato kidogo makwao ndo utawapata mana yeye kitu gari ndo anajihakikishia kuwa unapesa nk.
Lakini kuna wanawake smart hata ukiwa na gari lako anakutosa tu,hapa uelewe kwamba kuwa na gari hakukufanyi utoswe hilo sahau.

Kuna mademu wakali kwao wanaacha gari zaidi ya tatu na zote kali,hapo uwe na nidham na tekiniki za kumuiingia,usijifanye una pesa sana ingawa ni lazima akuone unamfaa na anaweza kumatch nae

Hawa huwa wanataka mapenzi na siyo vigari gari mana kwao kazaliwa vipo

Na log out

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ni kwamba ukisha kua nazo watakuja wengi na utazidiwa kiasi cha kushindwa kujua nani mkweli na Mpigaji mana watakuja wa kweli na wapigaji
 
Wewe pata hizo pesa na gari kali utashangaa tumejuaje tukishakupata.

Hayo mengine tuachie sisi.
Wanawake kwa kutengeneza mazingira, kweli hampendi shida.

Nimejikuta nakumbuka tu mstari wa Mwana Fa " ukizani una mbinu, mabinti wana mitego".
 
Wamebadili gia hewani, sa hivi unapewa papuchi kwanza afu kuchunwa baadae
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu ni kupatikana kiurahisi tufanye kuna mwamba ana gari na hela anakutongoza na mwingine hana kitu huyu ambaye yupo vizuri ana nafasi kubwa sana ya kukutafuna
Siyo kila mwanamke anapatikana ukiwa na pesa au ukiwa na gari, unaweza ukawa na vyote na kama sijakupenda sijakupenda tu


Sent from my iPhone using JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nikubaliane na wewe kwenye kitu kimoja. Kama mtu huna swaga na teknik za kuwanasa warembo, hata uwe unaendesha "LAMBOJINI" unaweza kujikuta unapata tabu sana kung'oa watoto wazuri! Sanasana utapata wale micharuko macho juu, lakini watoto wanaojielewa bado wanaweza kukusumbua sana tu.. Mbinu ndio kila kitu.
 
Tafuta hela ndio utajua utawapataje!!! Pesa ,gari uchawi wa kizungu!!! I let my car talk for me blah what up hommie.
 
Mkuu kuna mahali hujaelewa. Hapa hatuzungumzii mademu kukupenda, tunazungumzia urahisi wa wewe kutafuna papuchi. Hivyo ni vitu viwili tofauti kabisa. Kama unataka kupendwa wewe uzi huu haukufai kabisa mkuu..πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…