Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 3,840
- 6,844
Eti wakuu ivi kuna ulazima?
Maana naona kila mtoko ni unaambatana na full minyama choma n.k.
Kwani hamuezi kuchill tu sehemu mkastorika tu na labda kupooza koo kwa maji kidogo?
Maana naona kila mtoko ni unaambatana na full minyama choma n.k.
Kwani hamuezi kuchill tu sehemu mkastorika tu na labda kupooza koo kwa maji kidogo?