Si ndio hapo sasa Arabianf,kiukweli wananiboa sn as if sisi wadada ni malighafi flan.Mbaya zaidi wanatoa hizo sifa bila kujua kuwa kama kuna mtu anagharamika kumg'arisha huyo mdada!
Hee,we Bumpkin b,mi ninae na ninameet vigezo vyote.But kinachoniboa ni kuweka sifa zilizopitiliza ambazo kwa binadam wa kawaida kuwa nazo inakuwa ngumu,labda wa kichina au jini.kutoa vigezo si ishu,ila basi muwe mnaweka vigezo reasonable ambavyo vinaonesha mtu yuko serious. NB:Mimi tayari nimeshaolewa so kwa post hii msidhan natafuta,mm nilishaonwa siku nyingi.
...dahh? mbona mkali hivyo bana...kuna wanaokidhi viwango vyote tajwa,
kupanga ni kuchagua jamani, kila mtu na uchaguzi wake....ndio demokrasia hiyo!
...mie akishakuwa na mwanya basi [siri yake naijua mie] mengine yatafuatia...:A S-coffee:
Hapo namimi sijakuelewa inamaana nanyie huwa mnachezewa??siyokupotezeana mda bali nikuchezewa kweli nanyie mnamisemo!Mnaniboa sana nyie wanaume mnaojidai kutafuta wachumba kwa kuweka sifa ambazo mtadhan hao wadada nyie ndo mnawaumba,eti mara nataka mchumba awe na hips kubwa,mara mweupe,sijui masaburi makubwa,mara sijui matiti yakoje,mara eti wa kunipoza moyo.Najiulza hv mnakuwa na nia ya kupata wachumba au mnatafuta wa kuchezea tu na hapo ndipo napata mashaka na uwezo wenu wa kutongoza kwsbb haiwezekani jamii yote inayokuzunguka ukose unae mtaka.Mnaboa sana yan mnatufanya wadada kama vile bidhaa fulan dukani,acheni hizo!!
Mhhhh! Mbu nasubiri PM yako hapo kwenye rangi ya blue 🙂🙂
Na ukimtizama huyu anae taka mwanamke mwenye vigezo hivyo unaweza kutapika siku mbili mfululizo...