WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 963
...duuuuuh, ha ha ha...VC huyo ana hila,...anaye anayemchekesha akiwa nje ya nyumba 😀
Mi nadhani njia nzuri ni kusemezana... mwanaume ukiona mkeo kanuna..muulize kwa upole tu... usijifanye kichwa ngumu ..uondoke kwenda kwenye kinwaji na kujichekesha kwa mabaamedi.Ukifanya hivyo unaongeza tension..na ukizoea hivyo kumtia simanzi mkeo ujue shida hujiandika usoni.Mkeo atapata wa kumchekesha na yeye.Siku hizi kuna technolojia...mobile phones, internet kama hivi... hivyo basi bora ku minimise risks!
Ukiona humtaki bora umwache mapemaaa!
Mi nadhani njia nzuri ni kusemezana... mwanaume ukiona mkeo kanuna..muulize kwa upole tu... usijifanye kichwa ngumu ..uondoke kwenda kwenye kinwaji na kujichekesha kwa mabaamedi.Ukifanya hivyo unaongeza tension..na ukizoea hivyo kumtia simanzi mkeo ujue shida hujiandika usoni.Mkeo atapata wa kumchekesha na yeye.Siku hizi kuna technolojia...mobile phones, internet kama hivi... hivyo basi bora ku minimise risks!
Ukiona humtaki bora umwache mapemaaa![/QUOTE]
...kuachana sio suluhisho VC, kila ajaye atakuja na package yake.
Utaachana na wangapi?
Ndio ukweli... utaacha wangapi? Kila binadamu anakuwa na mazuri na mabaya ...huwezi kupenda mazuri tu... itabidi mabaya mchukuliane kwa upole na upendo na kumaliza tofauti zenu haraka.Kununa na kukomoana hakujengi.Msiache jua lizame mkiwa bado na visirani.
Mi nadhani njia nzuri ni kusemezana... mwanaume ukiona mkeo kanuna..muulize kwa upole tu... usijifanye kichwa ngumu ..uondoke kwenda kwenye kinwaji na kujichekesha kwa mabaamedi.Ukifanya hivyo unaongeza tension..na ukizoea hivyo kumtia simanzi mkeo ujue shida hujiandika usoni.Mkeo atapata wa kumchekesha na yeye.Siku hizi kuna technolojia...mobile phones, internet kama hivi... hivyo basi bora ku minimise risks!
Ukiona humtaki bora umwache mapemaaa!
Probe some more ndugu....ukimuuliza atakujibu kwamba hajanuna 😕
Probe some more ndugu.
Ukimzoesha mwanamke wa jinsi hiyo eti kwa "kumpiga na udoti wa khanga au chipsi kuku" ili apunguze jazba, yawezekana kwa wanawake wengine wenye gubu la kuzaliwa nalo hiyo ikawa ndo sehemu ya kusawazishia shida zake na kila siku itakuwa ndo staili yake ya kutoka! Yaani kama amepatia gia au "ametune station" ya redio, akipata "mitabendi au frikwensi" itakuwa kila uchao yeye anaondoa kwa staili mbalimbali za magubu na minuno mpaka utatia akili kwa nini ulioa that type of woman!.
...kwenye kilimo mjomba wala hapajaharibika neno, yaani nachanganya jembe la mkono,la kukokotwa na ng'ombe mpaka kwa trekta la Massey Fergusson... hakuna shaka hapo...
Hizo za kuulizwa uko wapi naboreka nalo sana,... mwenzio sipendelei!
Anyway,...
'Roller coaster' ride hii,...
...ameamkia kukosha gari, kupiga deki nk ...viashiria vya PMS kama alivyosema mkubwa afkombo
VC, ...'paka wakiondoka panya hutawala'...wikiendi kina Nyamayao, Mwj'1, na wengineo wanakuwa off...
...i bet kesho j'3 si madongo hayo nitayotupiwa,...
sijui niifunge thread? 😀
Uzuri wenyewe kina baba wengi tunakubaliana kuwa mnayo tabia hii ya ajabu kina mama...
...unajua,
kuna wanawake wengine hawana jema wajameni. Mwanaume 8am-5pm ulikuwa unaumizana kichwa na mabosi huko kazini, badala ya kupata farijiko la akili ukirudi nyumbani ndio kwanza unakutana 'maza-hausi' kanuna nuna tu bila sababu...
Ukimuuliza " una nini leo?" anatingisha kichwa tu hakuna lolote...
Ajabu yenyewe 'mingine' utakuta imeudhiwa labda kazini, madonge yao wanakuletea wewe nyumbani. Hata ukijibaraguza na TV au na JF kwenye kona ya jicho unamuona na kila dalili za shari shari tuuu,... hasemi lolote almuradi kaamua 'kukuweka' uncomfortable as if hapo nyumbani unamuwekea usiku...
No wonder wanaume wengi wanaishia Grocery, Pub na sehemu nyinginezo kujiliwaza na marafiki, au farijiko la 'nyumba ndogo'...
Wenye roho ngumu kama mimi ndio inabidi kubanana nao tu hivyo hivyo, akinuna nami nauchuna vile vile...
Nyumba yangu kwanini aifanye 'kituo cha polisi' bana?
VC, ...'paka wakiondoka panya hutawala'...wikiendi kina Nyamayao, Mwj'1, na wengineo wanakuwa off...
...i bet kesho j'3 si madongo hayo nitayotupiwa,...
sijui niifunge thread? 😀
Uzuri wenyewe kina baba wengi tunakubaliana kuwa mnayo tabia hii ya ajabu kina mama...
...kwenye kilimo mjomba wala hapajaharibika neno, yaani nachanganya jembe la mkono,la kukokotwa na ng'ombe mpaka kwa trekta la Massey Fergusson... hakuna shaka hapo...
Hizo za kuulizwa uko wapi naboreka nalo sana,... mwenzio sipendelei!
Anyway,...
'Roller coaster' ride hii,...
...ameamkia kukosha gari, kupiga deki nk ...viashiria vya PMS kama alivyosema mkubwa afkombo
sasa Mbu hapo unatakaje, hata kama ni saa 5 za ucku na hatujawacliana kwa lolote yani cjui upo kona gani niculize?
Bluray usitake kunambia hujaoa!?
Wacha bana, oa mkuu! Ndoa ina raha sana, sidhani hata huo usela wako unaweza kunihakikishia kuwa maisha ni tambarare.
Kwenye ndoa kuna wenye matatizo au raha kama ilivyo kabla ya kuoa.
Raha ya kuoa/olewa waulize walio kwenye ndoa zisizo na matatizo, raha sana bana! We acha tu, mimi nafurahia ndoa yangu, akikasirika mwenzi wangu najua namna ya kumpunguzia hasira, kama mnataka kufundishwa namna ya kuishi maisha bila mikwaruzano kwenye ndoa basi tuje na somo hilo vinginevyo matatizo ya wengine yasikusababishie uogope ndoa. Ni kitu kitamu sana!
Kama ni hivyo hata shule uliyosoma wangapi wanakwambia ni ngumu na wala si rahisi tena wengine walikuwa wakikukatisha tamaa? Mbona ulisonga mbele? Mbona hukukimbia? Kila tatizo lina suluhisho lake, kama hujui unawauliza wazoefu wa nyanja husika!
Dada we acha tu hawa wana mambo halafu usipouliza ataona hujali na ukiuliza hakujibu mie hata huwa siwaelewegi hawa viumbe
mie kuuliza ni muhimu labda uwe mwenyewe umeshaniambia mizunguko yako na ndio ukereke vizuri kama anakereka, sasa mie nitajuaje jamani kama umepata tatizo huko? hawa viumbe hawana tafcr ya kutosheleza kabisa mami.