Hivi mkoje nyie?...!

Nimecheka saana, du.
 
Umarried men know about women than married men. Thats why they are not married!!
 
Kitu kimoja nilishaaswa.. nisijaribu kumwelewa mwanamke......so I stick to that...
 
Umarried men know about women than married men. Thats why they are not married!!


I think the opposite is the case: "Unmarried men DO NOT KNOW about women...thats why they are NOT married"
 
MBU= MARRIED BUT UNHAPPY,

mkuu pole sana, kumbe ni kweli kabisa jina lako lilivyo Lol.
 
Mr. Mbu,

Kwa wale walio na wake wanalijua vyema hilo timbwili timbwili la wake zetu, iyo hali wengi wetu hutukuta, me hapo bado sija waelewa kabisa hawa wake zetu, wanafikili kununa ndio silaha yao ya kukufanya uwaogope au urudi nyumbani mapemaaaa! kumbe anapaswa kukuliza tu vizuri mume wangu kulikoni?? na atajibiwa.

Amakweli me hakuna jambo linalo nikela umetoka zako Job unakutana na na hilo timbwili timbwili huwa na juta kwanini nime wahi kuja home, wakuta ukirudi home bado yeye wife anataka umpe attention 100% awe anakusemesha na ikatokia hukumsikiliza ndio hapo unaunogesha ugomvi, sasa me ndie nimetoka job nimekukuta nategemea ndio unipe hiyo attention kwangu nikueleze mawili matatu ivi lakini jamaani wake zetu nao wawe wanatufikiriapo japo kwa muda kuwa mumewe kachoka anatakiwa kuliwazwa nae sio yeye atake kufanyiwa ivyo tuu,

Au utakuta jambo lingine ni pale wote mwafanya kazi ukiwahi rudi wewe utampokea vyema na utakuwa umeisha hata andaa chai ya jioni na mtaongea vyema au akukute nawe uko kwa bad mood utakiona cha mtemakuni naye anaweza kukubadilikia akawa yeye ndie mwenye hasira zaidi yako ati sasa hapo wajiuliza mimi ndio niko vibaya iweje wewe tena unibadilikie??

Au kunajambo jingine wengi wao wakitoka kazini na mkiwa mme pumzika usiku na labda mwaitaji kufanya tendo la ndoa wife wako atakuambia mimi nimechoka hiyo hali ipo toka Monday to Friday mazeee na huwatokea wengi, ati amechoka amefanya kazi nyingi sana au ana stress zake za huko job, siku nawe ukimjibu ivyo utanuniwa na utazushiwa kuwa una nyumba ndogo na maugonvi yanaanzia hapo sasa mimi huwa siwaelewi wao wanapenda tu wawe wanadekezwa tuuuuuuu au??

Si Love is both way jamani????au it a one way love only??
 
Hebu jaribu binamu ila mi nshatafsiri kule kwenye thread ya Avatar yako inmaanisha nn!!

NiPM basi, manake tutatoka nje ya ufunguo ikawa balaa! Hahahah!
 

Pole mzee... wengine ndo staili zao za kuomba mdinyano...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…