Nimecheka saana, du.Ah shemeji mie tena? wala sidongoi pale penye ukweli ati. Ninakubaliana nawe kuwa kina mama wengi tuna tabia hii ila kama alivyosema dada Vera huwa kuna sababu behind yaani dada kuna ujumbe anataka kukufikishia but ndo hatujui njia sahihi!
Ila seriously kuna wanaume wanaonuna na usiombe ukakutana naye loh! Utajuta. Mie wangu alikuwa ananuna bila sababu asubuhi hadi usiku akirudi ni kuchuna tu hadi unachoka halafu nite kali ghafla bin vuu unasikia kono linateremshwa hazina!! Sijui wakoje wa namna hii!
Nimecheka saana, du.
Umarried men know about women than married men. Thats why they are not married!!
R u sure? how far are you sure?
We angalia avatar yake utajua how far he/she is sure. (off topic i think)
Umarried men know about women than married men. Thats why they are not married!!
Mh Binamu ckujua na wewe ni Avatar analystic! big up!We angalia avatar yake utajua how far he/she is sure. (off topic i think)
Mh Binamu ckujua na wewe ni Avatar analystic! big up!
nikutafsirie na yako. (sorry, off point)
Hebu jaribu binamu ila mi nshatafsiri kule kwenye thread ya Avatar yako inmaanisha nn!!Nikutafsirie na yako. (Sorry, off point)
Hebu jaribu binamu ila mi nshatafsiri kule kwenye thread ya Avatar yako inmaanisha nn!!
NiPM basi, manake tutatoka nje ya ufunguo ikawa balaa! Hahahah!
...unajua,
kuna wanawake wengine hawana jema wajameni. Mwanaume 8am-5pm ulikuwa unaumizana kichwa na mabosi huko kazini, badala ya kupata farijiko la akili ukirudi nyumbani ndio kwanza unakutana 'maza-hausi' kanuna nuna tu bila sababu...
Ukimuuliza " una nini leo?" anatingisha kichwa tu hakuna lolote...
Ajabu yenyewe 'mingine' utakuta imeudhiwa labda kazini, madonge yao wanakuletea wewe nyumbani. Hata ukijibaraguza na TV au na JF kwenye kona ya jicho unamuona na kila dalili za shari shari tuuu,... hasemi lolote almuradi kaamua 'kukuweka' uncomfortable as if hapo nyumbani unamuwekea usiku...
No wonder wanaume wengi wanaishia Grocery, Pub na sehemu nyinginezo kujiliwaza na marafiki, au farijiko la 'nyumba ndogo'...
Wenye roho ngumu kama mimi ndio inabidi kubanana nao tu hivyo hivyo, akinuna nami nauchuna vile vile...
Nyumba yangu kwanini aifanye 'kituo cha polisi' bana?
Pole mzee... wengine ndo staili zao za kuomba mdinyano...
hivi shem,
huyu kimey ni he/she?
Mkuu! Ntake radhiBeautiful she (Out of phase unajua bwashee?)