hivi mlikutana wapi?

kwakweli mie nikikumbuka nilipokutana naye napata uchungu sana na kutamani kumuacha ingawa firstman wangu huyu ni wa pekee duniani.ila sinikumbushe mzee................!
 
Nilikuwa nafanya kazi ya customer care kwenye moja ya makampuni ya simu.Akapiga kutaka kusaidiwa problems za cm yake tukaanzia hapo hapo leo tuko na furaha na tuna watoto wa3
 

wewe mlikutana wapi?
 
kwakweli mie nikikumbuka nilipokutana naye napata uchungu sana na kutamani kumuacha ingawa firstman wangu huyu ni wa pekee duniani.ila sinikumbushe mzee................!

wajina wangu kwa nini unatamani kumuacha?
 
mimi nilitangaza hapa hapa na tukakutana hapa hapa lakini bado hatuja onana ila my wife wangu du hata sikumbuki tulikutana wapi maana ....... We acha tu.
 
mimi nilitangaza hapa hapa na tukakutana hapa hapa lakini bado hatuja onana ila my wife wangu du hata sikumbuki tulikutana wapi maana ....... We acha tu.

He afadhali umejisemea zako mwaya una ka SH ka JF
 
Nilkuwa mwalimu nae alikuwa mwanafunzi patamu apo!
 
mimi nilitangaza hapa hapa na tukakutana hapa hapa lakini bado hatuja onana ila my wife wangu du hata sikumbuki tulikutana wapi maana ....... We acha tu.
Kwa hiyo huyu wa JF mnafanya Infi.......:nono:
 
Bao hatujakutana tukikutana ntajibu kwa ufasaha

Pearl Naomba kukutana na wewe halafu tuseme tulikutana JF:smile-big:
Tumpe Invisibo jukumu la kutufungisha ndoa kwa kutumia sheria za JF...
Washauri wetu wa ndoa awe MwanajamiiOne pamoja na Dark City (ana mawaidha kweli huyu Baba)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…