johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaweza pata taarifa hizo TANAPA, wao ndio wasimamizi na wana takwimu zote. JF hutopataSijawahi kusikia CAG akielezea Taifa linafaidikaje na Utalii kwenye Mlima Kilimanjaro
Labda CAG mstaafu mh Uttoh atusaidie kutupa data kupitia taasisi yake I Uwajibikaji
Ahsanteni Sana
Mlale Unono π π
Ahsante sana πUnaweza pata taarifa hizo TANAPA, wao ndio wasimamizi na wana takwimu zote. JF hutopata
Hata wewe huingizi chochote tumpe mwarabu akuchukue.. kwa mkataba wa miaka99Sijawahi kusikia CAG akielezea Taifa linafaidikaje na Utalii kwenye Mlima Kilimanjaro
Labda CAG mstaafu mh Uttoh atusaidie kutupa data kupitia taasisi yake I Uwajibikaji
Ahsanteni Sana
Mlale Unono π π
Na wewe mkeo umemzalisha watoto wa kutosha na unamshugulikia inavopaswa au tukutafutie shababi mwekezaji?Sijawahi kusikia CAG akielezea Taifa linafaidikaje na Utalii kwenye Mlima Kilimanjaro
Labda CAG mstaafu mh Uttoh atusaidie kutupa data kupitia taasisi yake I Uwajibikaji
Ahsanteni Sana
Mlale Unono π π
KINAPA ndio wanasimamia huo mlima. Ndio wana data zake zoteUnaweza pata taarifa hizo TANAPA, wao ndio wasimamizi na wana takwimu zote. JF hutopata
Sensa ya wanamigombaniHata wewe huingizi chochote tumpe mwarabu akuchukue.. kwa mkataba wa miaka99
Tija ipo kuna watanzania wamejiajiri hapo kupandisha watalii mlimani, kwa upande wa serikali tija ni kidogo sn wizi umejaaSijawahi kusikia CAG akielezea Taifa linafaidikaje na Utalii kwenye Mlima Kilimanjaro
Labda CAG mstaafu mh Uttoh atusaidie kutupa data kupitia taasisi yake I Uwajibikaji
Ahsanteni Sana
Mlale Unono π π
Hata nchi apewe maana hakuna tija yoyoteHata Ikulu ya Dar es salaam apewe mwekezaji
Wazazi wetu wameusoma shule, sisi tumeusoma shule na sasa watoto wetu wanausoma shule lakini tija zeroHata nchi apewe maana hakuna tija yoyote
Sababu ya mfumo ovu wa CCMWazazi wetu wameusoma shule, sisi tumeusoma shule na sasa watoto wetu wanausoma shule lakini tija zero