Hivi mlitegemea timu ya Shirikisho imfunge timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika?

Hivi mlitegemea timu ya Shirikisho imfunge timu inayoshiriki Klabu Bingwa Afrika?

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
fff.jpg

Inashangaza sana baadhi ya mashabiki wa Simba kutupa lawama kwa mwamuzi wa mchezo wengine wakitoa lawama kwa serikali, Swali la msingi ambalo wanajisahaulisha, Hivi kweli walikuwa serious wakitarajia kuifunga Young africans?

Wanapaswa kushukuru mbinu aliyoingia nayo kocha wa Yanga (kuamua kuwaheshimu) , uchovu baada ya mechi za Afcon na hali ya uwanja na mvua zilizomzuia Young africans kucheza mchezo wao waliouzoea!

Hakuna timu ya shirikisho inaweza kufua dafu kwa timu hata zilizopo pot 4 club bingwa! Achilia mbali pot 2&1. Kuna timu ya shirikisho anaweza kuifunga pyramids ya Mayele? achilia mbali hao kina orlando pirates, MC algiers, CR Belouizdad, ES Tunis, Raja CA, Mamelodi, Al ahly nk.

Ifike wakati heshima ichukue mkondo wake! Ukiangalia kikosi cha Young Africans ukilinganisha na wapinzani ni kama watoto wa shule ya msingi wanaenda kucheza na wanaume kamili na matured wa Young africans.

Hivi kweli unamlinganisha Balua na Mzize, Dube, Aziz ki, Baleke? Hata physiq tu wakikaa pamoja unaona tofauti. Sijui vitoto kama Ahoua ambao bado wanajitafuta, Ateba,sijui Mutale ndiyo striker tegemezi mbele ya makipa matured na experienced kama Diarra? huko si kuwatafutia lawama! mbele ya mabeki kama Dickson job, Bacca ambao kina shalulile hawakuweza kuwafunga?

Timu kikosi cha kwanza beki Hamza na midfield Kagoma alafu uwachezeshe na watu matured na experienced kama Aucho? Maxi? Pacome?

Kama sio mbinu za mwalimu wa Young Africans kuamua kuwaheshimu bila kufunguka (ambapo alikuja kugundua kipindi cha pili baada ya kuona hamna haja ya kuwaheshimu maana hakuna kitu) na kama uwanja ungekuwa kwenye ubora, huenda tungezungumzia magoli mengi sana.
 
View attachment 3132021
Inashangaza sana baadhi ya mashabiki wa Simba kutupa lawama kwa mwamuzi wa mchezo wengine wakitoa lawama kwa serikali, Swali la msingi ambalo wanajisahaulisha, Hivi kweli walikuwa serious wakitarajia kuifunga Young africans?

Wanapaswa kushukuru mbinu aliyoingia nayo kocha wa Yanga (kuamua kuwaheshimu) , uchovu baada ya mechi za Afcon na hali ya uwanja na mvua zilizomzuia Young africans kucheza mchezo wao waliouzoea!

Hakuna timu ya shirikisho inaweza kufua dafu kwa timu hata zilizopo pot 4 club bingwa! Achilia mbali pot 2&1. Kuna timu ya shirikisho anaweza kuifunga pyramids ya Mayele? achilia mbali hao kina orlando pirates, MC algiers, CR Belouizdad, ES Tunis, Raja CA, Mamelodi, Al ahly nk.

Ifike wakati heshima ichukue mkondo wake! Ukiangalia kikosi cha Young Africans ukilinganisha na wapinzani ni kama watoto wa shule ya msingi wanaenda kucheza na wanaume kamili na matured wa Young africans.

Hivi kweli unamlinganisha Balua na Mzize, Dube, Aziz ki, Baleke? Hata physiq tu wakikaa pamoja unaona tofauti. Sijui vitoto kama Ahoua ambao bado wanajitafuta, Ateba,sijui Mutale ndiyo striker tegemezi mbele ya makipa matured na experienced kama Diarra? huko si kuwatafutia lawama! mbele ya mabeki kama Dickson job, Bacca ambao kina shalulile hawakuweza kuwafunga?

Timu kikosi cha kwanza beki Hamza na midfield Kagoma alafu uwachezeshe na watu matured na experienced kama Aucho? Maxi? Pacome?

Kama sio mbinu za mwalimu wa Young Africans kuamua kuwaheshimu bila kufunguka (ambapo alikuja kugundua kipindi cha pili baada ya kuona hamna haja ya kuwaheshimu maana hakuna kitu) na kama uwanja ungekuwa kwenye ubora, huenda tungezungumzia magoli mengi sana.
Hata mimi ningeshangaa.
 
Bora watu wenye akili mseme.

Kwanza kufungwa na Yanga goli 1 ni heshima, walitakiwa kujivunia na sio kulalamika.
 
Daah hawa jamaa wacha wajadili kuhama Ligi maana wananyanyasika sana kwa kipigo akili itawakaa sawa baada ya mwezi hivi...wamemvamia Karia kwa kuwa ni Simba mwenzao sisi ugomvi wa ndugu hautuhusu..
 
Mazwazwa mtaanzisha kila mad aiseee..yani mkilala mnaota mtaanzisha thread gani...
Wewe Tate Mkuu ulipotea humu ila naona umeerudi kwa kasi ya 4g...
 
Bora watu wenye akili mseme.

Kwanza kufungwa na Yanga goli 1 ni heshima, walitakiwa kujivunia na sio kulalamika.
Ni Mwehu tu kutoka Ukoloni ndiye aliyetegemea hivyo!
Hahaha!hao vichwa ngumu hawawezi kuelewa,tatizo lao wanamsikiliza sana mshehereshaji wao basi na wao pia wanameza bila kufikili
Daah hawa jamaa wacha wajadili kuhama Ligi maana wananyanyasika sana kwa kipigo akili itawakaa sawa baada ya mwezi hivi...wamemvamia Karia kwa kuwa ni Simba mwenzao sisi ugomvi wa ndugu hautuhusu..
Sema tu mashabiki wengi wa simba ni mbumbumbu!
Yanga inawafanya mnakua wagonjwa wa akili. Kweli hu ni uwendawazimu wa kiwango cha juu.
 
Yanga inawafanya mnakua wagonjwa wa akili. Kweli hu ni uwendawazimu wa kiwango cha juu.
Ukiona unatukana tukana kwenye mambo ya mpira au mambo mengine ya hovyo hovyo nadhani utakua una tatizo sehemu ukiweza waone madaktari kwa hilo tatizo...na kama ni mtu wa kutukana Isanga family ungekua unanipotezea tafuta wasizwa wenzio ndio uendelee nao hilo tuta la kutukanana tulishalivuka mazee..
 
View attachment 3132021
Inashangaza sana baadhi ya mashabiki wa Simba kutupa lawama kwa mwamuzi wa mchezo wengine wakitoa lawama kwa serikali, Swali la msingi ambalo wanajisahaulisha, Hivi kweli walikuwa serious wakitarajia kuifunga Young africans?

Wanapaswa kushukuru mbinu aliyoingia nayo kocha wa Yanga (kuamua kuwaheshimu) , uchovu baada ya mechi za Afcon na hali ya uwanja na mvua zilizomzuia Young africans kucheza mchezo wao waliouzoea!

Hakuna timu ya shirikisho inaweza kufua dafu kwa timu hata zilizopo pot 4 club bingwa! Achilia mbali pot 2&1. Kuna timu ya shirikisho anaweza kuifunga pyramids ya Mayele? achilia mbali hao kina orlando pirates, MC algiers, CR Belouizdad, ES Tunis, Raja CA, Mamelodi, Al ahly nk.

Ifike wakati heshima ichukue mkondo wake! Ukiangalia kikosi cha Young Africans ukilinganisha na wapinzani ni kama watoto wa shule ya msingi wanaenda kucheza na wanaume kamili na matured wa Young africans.

Hivi kweli unamlinganisha Balua na Mzize, Dube, Aziz ki, Baleke? Hata physiq tu wakikaa pamoja unaona tofauti. Sijui vitoto kama Ahoua ambao bado wanajitafuta, Ateba,sijui Mutale ndiyo striker tegemezi mbele ya makipa matured na experienced kama Diarra? huko si kuwatafutia lawama! mbele ya mabeki kama Dickson job, Bacca ambao kina shalulile hawakuweza kuwafunga?

Timu kikosi cha kwanza beki Hamza na midfield Kagoma alafu uwachezeshe na watu matured na experienced kama Aucho? Maxi? Pacome?

Kama sio mbinu za mwalimu wa Young Africans kuamua kuwaheshimu bila kufunguka (ambapo alikuja kugundua kipindi cha pili baada ya kuona hamna haja ya kuwaheshimu maana hakuna kitu) na kama uwanja ungekuwa kwenye ubora, huenda tungezungumzia magoli mengi sana.
We kweli hamnazo, hivi hukuona bingwa wa Africa alifungwa na bingwa wa Shirikisho?...ama kweli kule wenye akili 2 tu.
 
We kweli hamnazo, hivi hukuona bingwa wa Africa alifungwa na bingwa wa Shirikisho?...ama kweli kule wenye akili 2 tu.
Angalau wote walikuwa kwenye ubora, sasa hii 5imba ya Ladack chasambi na Edwin balua ndiyo striker tegemezi akaifunge Yanga??
 
Back
Top Bottom