tatizo sio ccm bali baadh ya viongozi. Kuna watu safi sana ccm ila wanakatishwa tamaa. Pm kamwambia magufuli upunguze kasi ya utendaji, which means aweke uzembe kidogo kwenye utendaji sio kila saa uwe mchapakazi! Sasa unategemea nini? The problem is not ccm, but its leader who are lacking with patriotic ethics.