Hivi mnajua kuwa kuna 'Moto' mkubwa unaendelea huko katika Uchaguzi Mkuu wa Uenyekiti wa Bodi ya Ligi TFF?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Wagombea ni.......

1. Steven Mguto ( Coastal Union )

2. Dkt. Mshindo Msolla ( Yanga SC )

3. Murtaza Mangungu ( Simba SC )

TAKUKURU upesi sana anzeni kutupa Jicho lenu huko ( hapo ) kwani nimepenyezewa kuwa kuna 'Rushwa' za 'Mamilioni' zimeanza Kugawiwa kwa Wapiga Kura.

Kwa afya ya Soka la Tanzania GENTAMYCINE napenda Mzee Steven Mguto apite kwani bila 'Unafiki' najua akipita wa Simba SC yangu au wa Yanga SC piga ua Ligi itaharibika na Mpira wetu Kuchafuka.

Tafadhali wapiga Kura mpeni Mguto.
 
Uyo mguto unaempigia chapuo si ndo aliwai kusema wameisahau yanga kwenye ratiba ya ligi lakini wakaikumbuka lipuli ya njombe🤣🤣🤣
 
Wore hawafai Mangungu na Msolwa vilabu vyao tu vimewashinda, Mguto ishu ya viwanja na ratiba mpaka Sasa inasumbua kwani viwanja vibovu vikiwemo mkwakwani bado vinatumika, ameshindwa kusimamia kamati ya masaa 72 ambayo inatoa maamuzi ya mbele na kuacha ya nyuma
 
Kwa kweli bora Mguto apite kupunguza mawenge kwenye ligi
 
Hata kama Msola na Mangungu hawafai ila huyo Mguto naye angepumzika sasa! Vilabu vipo kibao asingekosekana aliye bora kuliko huyu Mtanga!
 
Kuwa na Aman sisi watu wa Tanga tunasema agwirae akagwira arichae ni uzuzue.mwenzake karia ameshikilia na amin na yeye hakuna wa kumuondoa.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]
Naomba tafsiri ya huo msemo wa Tanga na ni kabila gani.
 
Hapo Kuna wagombea wawili wa Simba na mmoja wa yanga
Wa Yanga atashinda kwa sababu wapiga kura wenye mahaba na Simba watajikuta wanazigawa Kura zao kwa watu wao wawili.

Naungana na Mtoa mada, Mguto ashinde ili kupunguza manung'uniko kwa utendaji wa hao wakubwa wawili pindi watakapokuja kutoa adhabu kwa Timu ya upande wa pili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…