Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
"...kuna sekta mfano haijaguswa kabisa ambayo ni ya mifugo unakuta mfugaji ana ng'ombe zaidi ya elfu 15 je huyo naye tumjengee josho la mifugo wake bure?! Mimi natoka kwenye familia ya kifugaji naelewa ninacho kizungumza."
Amesema Waziri Mwigulu.
Amesema Waziri Mwigulu.