Hivi mnaonaje Serikali ikatumia Simba na Yanga kuwapa utajiri watanzania

Hivi mnaonaje Serikali ikatumia Simba na Yanga kuwapa utajiri watanzania

Juice world

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2022
Posts
1,982
Reaction score
2,706
Yaani ipo hivi kwanini serikali isitumie ligi yetu ya mpira kutajirisha watanzania kwamba siku zicheze simba na yanga halafu zote zifungwe Kila mtu abeti mpunga wa kutosha hamuoni kama hapo tutakua tumepata utajiri watanzania yaani Kila mwaka mechi za mchongo ziwe 2 Kwa Kila timu unajua fikilia kama simba na yanga zote zikafungwa na hizi timu ndogo na tukaziweka kwenye mkeka mmoja si chini ya odds 250 hamuoni faida hapo maana Kila siku wanapewa pesa za magori siku Moja Moja na sisi tufaidike ITALIA ndio ujanja wao huu wanafanya
 
Yaani ipo hivi kwanini serikali isitumie ligi yetu ya mpira kutajirisha watanzania kwamba siku zicheze simba na yanga halafu zote zifungwe Kila mtu abeti mpunga wa kutosha hamuoni kama hapo tutakua tumepata utajiri watanzania yaani Kila mwaka mechi za mchongo ziwe 2 Kwa Kila timu unajua fikilia kama simba na yanga zote zikafungwa na hizi timu ndogo na tukaziweka kwenye mkeka mmoja si chini ya odds 250 hamuoni faida hapo maana Kila siku wanapewa pesa za magori siku Moja Moja na sisi tufaidike ITALIA ndio ujanja wao huu wanafanya

Mwenye uzi huu ni wewe pia?

Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu
 
Yaani ipo hivi kwanini serikali isitumie ligi yetu ya mpira kutajirisha watanzania kwamba siku zicheze simba na yanga halafu zote zifungwe Kila mtu abeti mpunga wa kutosha hamuoni kama hapo tutakua tumepata utajiri watanzania yaani Kila mwaka mechi za mchongo ziwe 2 Kwa Kila timu unajua fikilia kama simba na yanga zote zikafungwa na hizi timu ndogo na tukaziweka kwenye mkeka mmoja si chini ya odds 250 hamuoni faida hapo maana Kila siku wanapewa pesa za magori siku Moja Moja na sisi tufaidike ITALIA ndio ujanja wao huu wanafanya
Akili za kiccm hizi
 
Akili za kiccm hizi

GVupESgWgAAM_GV.jpeg
 
Back
Top Bottom