Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Si ndio maana Kila siku wanapewa hela za magori siku Moja Moja na sisi tufaidike Italia ndio ujanja wao huuAisee fanya kazi kwa bidii sana mkuu, dont rely on gambling utachelewa
Fala mama yako unahasira za maisha magumu🤣🤣🤣🤣We fala kweli. Betting haipo hivyo, nibiashara ambayo Ina uthibiti. Gemu ikiwa na viashiria vya fixed inafungwa au hata mkishinda hamtalipwa
Sema tu shida kwenye usirimkuu una kitu lakini hii akili umetumia apa kuwaza hilo jambo ni akili kisoda
Yaani ipo hivi kwanini serikali isitumie ligi yetu ya mpira kutajirisha watanzania kwamba siku zicheze simba na yanga halafu zote zifungwe Kila mtu abeti mpunga wa kutosha hamuoni kama hapo tutakua tumepata utajiri watanzania yaani Kila mwaka mechi za mchongo ziwe 2 Kwa Kila timu unajua fikilia kama simba na yanga zote zikafungwa na hizi timu ndogo na tukaziweka kwenye mkeka mmoja si chini ya odds 250 hamuoni faida hapo maana Kila siku wanapewa pesa za magori siku Moja Moja na sisi tufaidike ITALIA ndio ujanja wao huu wanafanya
Ndio siwezi ingia barabaraniMwenye Uzi huu ni wewe pia?
Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu
Ndio siwezi ingia barabarani
NonsenseFala mama yako unahasira za maisha magumu🤣🤣🤣🤣
Akili za kiccm hiziYaani ipo hivi kwanini serikali isitumie ligi yetu ya mpira kutajirisha watanzania kwamba siku zicheze simba na yanga halafu zote zifungwe Kila mtu abeti mpunga wa kutosha hamuoni kama hapo tutakua tumepata utajiri watanzania yaani Kila mwaka mechi za mchongo ziwe 2 Kwa Kila timu unajua fikilia kama simba na yanga zote zikafungwa na hizi timu ndogo na tukaziweka kwenye mkeka mmoja si chini ya odds 250 hamuoni faida hapo maana Kila siku wanapewa pesa za magori siku Moja Moja na sisi tufaidike ITALIA ndio ujanja wao huu wanafanya
Unaona hiyo nihela 😅😅😅😃 😃Hahaha masikini mnahasira sana hii ni saving ya tigopesa tu ndio maana nafurahi nikipna masikini mnahasira na Mimi 🤣🤣🤣🤣
Ndio onyesha wewe hata million 2 tu kwenye saving yako kama hiyo sio hela🤣🤣🤣🤣Unaona hiyo nihela 😅😅😅😃 😃
Tafuta hela kijana bado unasafari ndefuNdio onyesha wewe hata million 2 tu kwenye saving yako kama hiyo sio hela🤣🤣🤣🤣
Onyesha pesa hata milion 2 tu mzee kelele za nini pesa inategwa haitafutwi nitafute hela kwani nimeipoteza🤣🤣🤣🤣🤣Tafuta hela kijana bado unasafari ndefu
Kumbe ni lipumbavu kabisa.Mwenye Uzi huu ni wewe pia?
Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu
Wewe ndio lipumbavu unahasira sababu ya maisha Yako magumu🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe ni lipumbavu kabisa.