Hivi mnataka mpendejwe?

khaaaa! hapa inabidi niongee kiyunani. sakramento do sokeloisa teruim liyalo asrotose. Amen!
 
Hapa inategemea. Ukileta za kuleta wanakuwa sawa na CCM. Inabidi uwe makini kijana. We si unaona Bishanga analia hovyo? Mke alimuoa mwenyewe kwa mapenzi yake wala hakutushirikisha achilia mbali kutualika, yanamshinda anakuja kutulilia, tulimtuma? Atulie hapo hapo na mke huyo huyo na tena ampende kwa moyo wake wote.
hii ni kusema wanawake ni sawasawa na CCM, kabla uongozi/ndoa ma ahadi kibao, wakishakupata uongozi/ndoa lambada linaanza. dah!
 

kule kwetu ntwara inategemea ntu na ntu
 

...ha ha ha, punguza munkari mkuu.
Hupo peke yako, ni 'pingu za maisha hizo!'
 
Bishanga umetoka msibani juzi tu ushaanza makeke sio? Mkeo yuko sawa unafikiri akikaa kimya bilakukuuliza hivo utasikia raha kweli? Raha ya mapenzi uulizwe ulikuwa wapi uonyeshwe kila dalili ya wivu. Respect each other na value chochote anachokuambia mwenzako. Embu fikiria unarudi saa nane unakuta mke enekuchekea tu si utaanza kuhisi ana mwanaume mwingine? Vitu vingine huwezi kuvikwepa kwenye ndoa. Na unavyosema hajaweka tofali kwenye nyumba hapo ndio ulipo niboa kabisa na kunionyesha upo mwanaume wa aina gani. Hatufanyi hivo kwenye uhusiano.
 

Mimi ni mwanaume lakini siungi mkono kuongeza mke ili upate heshima. Kadhalika siungi mkono mwanamke kutafuta Kenny Rogers (Mbabu wa kithungu) ili kutafuta heshima. Ikitokea hivyo kuna tatizo kwa anayetoka nje kwenda kutafuta heshima awe mwanamke au mwanaume.
 
...ha ha ha, punguza munkari mkuu.
Hupo peke yako, ni 'pingu za maisha hizo!'
Hizi ndoa za siku hizi bana eti hajaweka tofali how can he say something like that?
 
Kwa mwanamme kama huyu asiyetaka kuulizwa chochote ili mkewe anyamaze kabisa ni lazima awe na mtu pembeni hapo atanyamaza kimya
 
Its my fu.....g house,hajaweka tofali hapo!

...astaghafirullah,...taratibu bana. Mlisainishana pre nuptials?
'vuvuzela' zikizidi piga miluzi ya..." ♪ chaupele mpenzi,...♫" :whistle::whistle::whistle:...
 
Kwa mwanamme kama huyu asiyetaka kuulizwa chochote ili mkewe anyamaze kabisa ni lazima awe na mtu pembeni hapo atanyamaza kimya

Mbona hamjamuuliza anaoneshaje mapenzi kwa mke wake, au ni mwanamke tu ndiyo anatakiwa kuonesha mapenzi kwa kunyenyekea na kutokuuliza maswali
 
He shem kweli shusha munkari halafu urudi maana naona mkeo kakuudhi kweli kweli....pole

Na kama majibu yenyewe anayotoa ndo yako hivi si ndo anazidi kuharibu huyu. Bwa kaka yuko kitemi zaidi kuliko kindoa.
 
Yeah kuku wa kienyeji wanahusika sana Bishanga hawa wa mboga 7 mimi nilisha nyosha mikono unaletewa mapenzi ya ISIDINGO

...na kulazimishwa uangalie/usimuliwe visa vya kina María Clara, LOL!


...mnh, akheri yako sweetlady umekuwa mkweli.
 
Kwa mwanamme kama huyu asiyetaka kuulizwa chochote ili mkewe anyamaze kabisa ni lazima awe na mtu pembeni hapo atanyamaza kimya


hili swala na "nyumba yangu" limetia ndoa nyingi sana kwenye misukosuko. Bishanga anaamini kwamba kwa kuwa nyumba ni yake basi ana haki ya kurudu usiku anaoutaka na kila kiumbe kinachoishi katika nyumba yake ni furniture, including mke wake
 
Its my fu.....g house,hajaweka tofali hapo!


Mhhhh! Bishanga! Yes! it is your ****ing house, lakini kwenye ndoa kuna kitu kinaitwa COMPROMISE bila kuwepo kitu hiki ndani ya ndoa basi ndoa hiyo haina maisha marefu Mkuu. Usilalame tu atakapoamua kufunga kila kilicho chake na kukuachia "your ****ing house" ili uwe na uhuru wa kufanya lolote lile.
 
bi shanga unaonyesha huna mapenzi na huyo mke wako.huyo mke anataka attention kutoka kwako,na mapenzi ya dhati ajihisi kama na yeye anapendwa.kumjazia mafuta kwenye gari,kula vizuri watoto kupelekwa shule nzuri hiyo haitoshi.wanawake wangapi wanakuwa na kila kitu ndani,wanakosa mapenzi,mbio wanatafuita vijana wa pembeni wasio na mbele wala nyuma.ndoa zina mlolongo mrefu.mshukuru huyo mke kukwambia,badilika uone kama ataendelea kulalamika
 
Wacha niondoke zangu,kawaida huwa nakunywa ndovu,leo ntapiga konyagi iliyochanganywa na amarula kisha ntajua la kufanya. nshachoka mimi.

...Shabaashh! suluhisho lipo hapo. Piga simu wife awapeke watoto kwa shangazi na yeye asichelewa kurudi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…