Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 441
- 643
Habari zenu walipa kodi!!
Niende direct kwenye mada. Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 24, nimehitimu chuo kikuu mwaka jana bado nazisaka ajira, huku nikiwa napiga mishe mishe zangu za kujipatia riziki na vi vocha kwa siku.
Tatizo linakuja sasa sometime unaweza ukawa mtaani maybe ukatoa hata salamu kwa washkaji halafu wachache wakaitikia wengine waka mute, maneno ya hapa na pale kama jamaa anajisikia siku hizi kisa unakuta mara nyingi upo busy na mambo yako binafsi hasa ya kutafuta ugali wa siku.
Hivi juzi nimesikia mahali jamaa wananisema ila walikuwa hawajaniona yaani washkaji kabisa wanafuatilia na kutaka kujua huyu mtu siku hizi anafanya kazi gani au kashapata ajira yaani maneno maneno tu ambayo kiukweli hayana msingi zaidi yakupoteza muda
Sasa najiuliza ndugu zangu wale labda mliomaliza chuo na mpo mtaani mnawezaje kuishi/ kukabiliana na watu wa namna hii maana kwangu nawaona kama mwiba yaani hasa ukicheki ni watoto wa kiume kabisa yaani nashindwa kuwaelewa
NYINYI HUWA MNAKABILIANAJE NA WATU KAMA HAWA MITAANI?
Sent using Jamii Forums mobile app
Niende direct kwenye mada. Mimi nikijana mwenye umri wa miaka 24, nimehitimu chuo kikuu mwaka jana bado nazisaka ajira, huku nikiwa napiga mishe mishe zangu za kujipatia riziki na vi vocha kwa siku.
Tatizo linakuja sasa sometime unaweza ukawa mtaani maybe ukatoa hata salamu kwa washkaji halafu wachache wakaitikia wengine waka mute, maneno ya hapa na pale kama jamaa anajisikia siku hizi kisa unakuta mara nyingi upo busy na mambo yako binafsi hasa ya kutafuta ugali wa siku.
Hivi juzi nimesikia mahali jamaa wananisema ila walikuwa hawajaniona yaani washkaji kabisa wanafuatilia na kutaka kujua huyu mtu siku hizi anafanya kazi gani au kashapata ajira yaani maneno maneno tu ambayo kiukweli hayana msingi zaidi yakupoteza muda
Sasa najiuliza ndugu zangu wale labda mliomaliza chuo na mpo mtaani mnawezaje kuishi/ kukabiliana na watu wa namna hii maana kwangu nawaona kama mwiba yaani hasa ukicheki ni watoto wa kiume kabisa yaani nashindwa kuwaelewa
NYINYI HUWA MNAKABILIANAJE NA WATU KAMA HAWA MITAANI?
Sent using Jamii Forums mobile app