Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Na kama anao hawamshauri au wanafurahi ndugu yao kuanika mwili wake uchi hadharani??



Wengi wa hivi utakuta mama na baba walienda mbele za haki,halafu ndugu hua hawawezi kabisa..


Huyu kakaa uchi mwaka wa nne huu hakuna hata mwanaume kamuoa atleast...

Atakua anapata laki 2,3 za kudanga,ila all through kachoka kimaisha tu...

Hawa hua wanajiendesha wenyewe tu,ndugu hawawezi
 
Inasikitisha sana
 
Tatizo itakuwaje mume watoto wake 10 yrs to come??? Todate Nsya Swai ana Mume just 2 to 4 photos into Internet.huyu anazaidi ya 200.So sad kwa wazazi wake! Heri Tumbo lisilojaa na maziwa yasionyonyesha!.Mungu awajalie wazazi wake faraja....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…