Hivi mrembo Sanchoka ana ndugu?

Vipi,Wa hapa nyumbani MF. Gigy na Amber lulu ushajiuliza? Au umekwea pia tu hadi a broad!
 
Akili za waafrika utazijua tu, ili mradi anaishi hayo maisha anayaishi mzungu basi yeye kwake ni sahihi 100%. Wewe baba yako akipigwa miti kama wazungu haina shida, sio? Au mtu akiwa anakupiga wewe miti na huku anampiga baba yako haina shida pia, sio? Hovyo kabisa. Sishangai akili yako ikawa katikati ya miguu yako.
 

Sasa kwani kuna tatizo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hii dunia kila mtu yuko free kuishi maisha atakayo na havunji sheria za nchi acha kula maharage mabovu ya Mbeya [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mwaga povu lingine hapa nina ndimu
 
Na kama anao hawamshauri au wanafurahi ndugu yao kuanika mwili wake uchi hadharani??
Ameamua kuitumikia fedha,usishangae!
Sawa kabisa mkuu, mwili wake ndio kitega uchumi chake, tusimlaumu hata kidogo, JPM anataka huyu afe njaa!
Ndio! Sasa wategemea huyu kweli anaweza fanya kazi yoyote zaidi ya kujianika uchi?!
Poa tu akae uchi, macho yafaidi na yeye ale...
Hapo pesa yako tu, ni bidhaa ipo sokoni, pesa yako tu..
 
Hiyo mazee inaitwa minyama uzembe akifikisha miaka 3 na O da!! Mwili wote unamwagika anakuwa bibi
 
Hayo mapaja sio uchi tena. Kuna madem wamejihifadhi bana, ukiona goti tu, wazungu hao.
 
Acha uchoyo ngoja awe anarusha tunaonako na wengine tunapigia nyeto kwan wewe unahasara gani na roho mbaya yako. Nenda huko RC anahusika vipi na pampuchi za wadada
Utakufa ukiacha urithi wa picha za uchi,rofa wewe.
Fanya kazi uoe badala ya kukomaa na picha utaua mtambo wako wa kazi kwa nyeto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…