Pre GE2025 Hivi Mshindani sahihi wa Rais Samia ni nani?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Mbona naona kama hakuna mtu anayejitutumua na kutosha kuwa mpinzani sahihi wa Rais Samia kwenye uchaguzi mkuu!
 
Mpinzani wake sasa hivi ni Haki tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…