Hivi mtaji wa 30,000/= unaweza kufanyia biashara ipi?

Hivi mtaji wa 30,000/= unaweza kufanyia biashara ipi?

Kwa pesa hiyo ndugu inatosha biashara ya dagaa, mayai ya kuchemsha, maandazi, chapati na vitu vingine vidogo dogo kama hivyo. si unajua hela ya Tz na gharama za vitu zilivyo juu hasa baada ya umeme kuwa juu?
 
Back
Top Bottom