Hizi si simptomz bali ni evidensi zinazo-pruv biyond rizonabo dauti kuwa nchi haitawaliki kwani watawala hawajui la kufanya, mambo yako hivi kwa tishio tu la kuandamana, je tukiandana! tupo katikati ya mkondo wa nungwi naona nahodha anajitosa baharini na godoro, haiamini tena meli spice islander. aibu yetu aibu yao?!